Mbowe akemewe au adhibitiwe, hii kuhubiri Ukabila ni hatari kwa kiongozi kama yeye

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache
 
Hivi sisi:
Wahaya
Wasukuma na
Wachaga
Tuliwakosea nini kila siku kutuandika, dhihaka na kejeli?
 
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.

Vyama vya upinzani hasa CHADEMA kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!

CHADEMA wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.

Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la CHADEMA ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu JamiiForums lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!

Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza CHADEMA ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!

Kutokana na CHADEMA kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!

Viongozi wa CHADEMA wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.

Tundu Lissu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!

Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya CHADEMA wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!

CHADEMA wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama, mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame (orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )? Utajibiwa tatizo ni mwendazake!

BAVICHA na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya CHADEMA ni Mbowe na Tundu Lissu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.

Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.

Kuporomoka kwa CCM wataulizwa Samia na Chongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.

Kwanini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli?
 
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache
Wakati Magufuli anafanya ubaguzi wa kikabila ulimwambia?
 
Enzi kazikazini ikitesa chuo cha madini kilijengwa Kilimanjaro badala ya Shinyanga yaliko madini.

Mbowe hakuna haja ya kuhangaika naye Wasukuma wamesha save hiyo clip wanasubiri 2025.
Nduhu tabhu mami.
 
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache
Ukweli siku zote ni mchungu sana, ukitaka ukosane na mtu yeyote yule, mwambie ukweli wa yale anayoyakosea.

Majibu yake yatakuwa:-

Unanitukana.

Wewe mbinafsi.

Wewe mkabila (unaendekeza ukabila)

Hufai.

Mshenzi.

Mwizi.

Jambazi.

Mkwepa kodi.

Mhujumu uchumi.


Lakini hawezi kujibu hoja.
 
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache
Mkuu,umezaliwa leo hapa Tanzania au ulikuwa umekufa sasa umefufuka juzi?
Ni Hayati Magufuli ndo alitoa amri mamlaka zote wasiajiri wachaga,Mbowe anakumbusha tu alichokuwa kaagiza Magufuli.
Aisee,acheni Mungu aitwe Mungu , yaani Magufuli angekuwa hai baada ya miaka mitano Tanzania ingekuwa machinjio ,alikuwa ni mtu hatari sana

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache
Suala la kumzibiti Mbowe ni gumu, mkuu! Mwenzako Sabaya alipambana na Mbowe, jana usiku ameujua mtandao wa Tigo! Usijaribu kuwaingiza wenzako kwenye mtego wa kutesti sumu kwa kuonja!
 
Nimesikitishwa na hotuba ya mwenyekiti wa chadema ndugu Freeman Mbowe,baada ya kuona kipande cha hotuba hiyo akimtuhumu Magufuli kuwa alikuwa na mpango wa siri kuwabagua watu wa Kaskazini na kwamba mamlaka zote ziliagizwa zisiajiri watu toka Kaskazini.

Kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani anaweza kuanza kuchochea hisia za ukabila bila kuwa na ushahidi,naliona ni jambo la hatari sana ambalo linakuwa kama mbegu inayoweza kuota na kumea kwa haraka sana kuliko anavyodhania.

Asiwaone watanzania wajinga sana kwa uvumilivu wao,kwani wengi wanajua mengi ya ukabila yanayofanywa na yaliyofanywa na baadhi ya watu wa Kaskazini lakini wakanyamaza.

Watanzania hawa wanaona tabia za viongozi mbali mbali walioko serikalini na hata katika chadema jinsi upendeleo wa ukabila,ukanda na udini ila wamenyamaza kwani kuyazungumzia ni kuyachochea.

Hakuna asiyejua jinsi ilivyokuwa katika tawala zoye tangu Uhuru watu wa Kaskazini walivyojipendelea katika kila nyanja yenye maslahi ya kifedha.

Binafsi nimeiona tabia hii iko hadi vyuo vikuu.Makabila yenye watu huko wamekuwa wakiwatunukia alama za juu watu wa makabila yao hata kama hawafaulu kwa jinsi hiyo.Na tabia hii wanayo hasa wachaga,wahaya na wasukuma.

Kama Mbowe anataka kuanzisha mjadala wa Magufuli kuhusiana na ukabila,mimi natoa rai aonywe au adhibitiwe kwa ajili ya kuokoa wengi katika Taifa hili.Tusifike huko kwenye kujaribu kuligawa taifa kwa ajili ya maslahi yenu wachache

Mboni unataka wote tuwe wajinga kama wewe?
 
Back
Top Bottom