Huyu jamaa ana matatizo ya akili. Masuala madogo tu, anataka polisi wamsukume ili atoe tamko. Alishindwaje kwenda kutoa taarifa polisi?
Mbona wezi wakivamia mahali polisi hawaendi? Huu ni ukibaraka tu na kujidhalili kwa jeshi hilo
he! Mbona mi napigaga fataki hawajawahi kunikamata?
Naomba polisi wawe likizo walau kwa masaa kumi tu wasifanye kazi yao tuone hali itakuwa vipi?Hawa polisi hawakusoma makala ya mwigamba nin? wapumbavu hawa vibaraka wa ccm!!!