Mwizi ni mwizi tu,hawa wanasiasa si watu.
hivi umetumia kichwa kweli kufikiri?Maadam kaamua kujibu. Mbowe pia atueleze kwa nini waandishi wa gazeti lake la Tanzania Daima linalosimamiwa na mkewe hawalipwi mishahara.
Na aseme kwa nini mkewe hivi karibuni aliwajibu wahariri wake kifedhuli kuwa "asiyetaka kazi bila malipo aache! "
Chezea mchaga weye tena akiwa kachanganya uchaga wake katika siasa, watanzania jiandaeni kuumia zaidi endapo huyu mchaga na kampuni lake(Chadema) watapata sehemu ya kula kivulini(serikalini) baada ya kusota juani(upinzani).
The unseen is illustrated by the seen.
Hajajibu HOJA.
Na hili ndio tatizo la hawa watu, hoja iliyopo sio yeye kutumia ama la, hoja ni kwa nini alikataa gari mbele ya wananchi na camera za waandishi na kisha akalichukua kinyemela?
Maadam kaamua kujibu. Mbowe pia atueleze kwa nini waandishi wa gazeti lake la Tanzania Daima linalosimamiwa na mkewe hawalipwi mishahara.
Na aseme kwa nini mkewe hivi karibuni aliwajibu wahariri wake kifedhuli kuwa "asiyetaka kazi bila malipo aache! "
siku zote nasema mbowe ni mnafiki na mlafi pia fisadi we halafu unatuhadaa watanzania mbowe mwizi mkubwa kwani ukisema ukweli utachinjwa?
Watanzania wana matumaini makubwa sana na chadema. Wanategemea chadema itawakomboa toka kwenye mateso, manyanyaso na ufisadi wa Ccm. Hata mimi nilikuwa na mategemeo hayo, lakini bila kuficha naona wazi kwamba chadema ni hatari na ni mbaya zaidi kuliko ccm. Chadema itafanya mambo machafu na mabaya zaidi ya yale yanayofanywa na ccm. waswahili wanasema unaweza kuruka mkojo na ukakanyaga mavi, watanzania wenzangu tuwe makini sana na hawa wana siasa wetu. Wana malengo yao binafsi ambayo wanataka kuyatimiza kwa kupitia migongo yetu.
Kumbukeni wakati jakaya anachukua madaraka, watanzania wengi walijua kwamba mwisho wa matatizo yao umefika kumbe ukweli ukawa ndiyo mwanzo wa matatizo. Sasa hivi watanzania walio wengi wanashabikia chadema, lakini mnajua chadema ni ya nani na inapata wapi nguvu ya pesa na itazilipaje pesa hizo? Hivi mnafikiri Mzee Ndesamburo anatoa helicopter zake bure kusaidia chadema?. kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa ni kosa. Tuwe makini sana ndugi zangu watanzania.
Mchagga akatae gari, "fesa"(200K), "numba", mlinzi? Labda mbowe siyo mchagga
Duh alikataa landcruiser gx standard akapewa V8 akatwaa! Vipi Zitto naye amerudi na kuchukua posho au? Kama bado Zitto anaendelea na msimamo wake basi huo ndio msimamo thabiti na siyo msimamo wa nataka sitaki.
Tatizo lako ni kwamba huoni na wala husikii kuhusu chadema. Lakini utakuja kumbuka maneno yangu. Hivi unajua chadema ilianzishwaje?. Unamjua mwenye chadema?. Unajua kilicho nyuma ya pazia la chadema?. Hao viongozi wa chadema mapema kabisa wameanza kuonesha kutokuwa na msimamo na pia hawana mshikamano. Kwenye hili suala la posho viongozi wenu ni ndumila kuwili. Wanazikataa posho hadharani lakini wanazichukua kimya kimya. Huu ni unafiki na ni hatari. Ccm wanaeleweka wazi kwamba wao posho wanachukua na tena bila kificho.wewe ni mnafki tu..kwa hiyo unataka tuichague ccm?si ungekuja tu direct fisadi wewe au unafkiri unaweza cheza na akili zetu gamba wewe?HAKUNA ZAIDI YA CHADEMA HAPA TZ MIMI SIJAHONGWA WALA SINA MASLAI BINAFSI ILA NINA UCHUNGU KWA JINSI INAVYOLIWA NA CCM {MKOLONI MWEUSI} KWANI MBOWE KUCHUKUWA HILO GARI NI UFSADI?
Mbowe kumbe Mnafiki!Mbona gari alilikataa kwa mbwembwe ili Wanachi Tumwone Mzalendo!Ilipolichukua tena,Ajijua anachemsha akaenda kimya kimya!Kufuatia tuhuma zilizo elekewa kwake juu ya matumizi shangingi la kambi ya upinzan mbowe alikua na haya yakusema:
"Mimi nilikataa gari kwa kipindi cha miezi sita na nikawa natumia gari langu kwa shughuli zote za vikao vya bunge,lakini nataka umma uelewa kuwa kwa nafasi yangu natakiwa kulipwa posho ya madaraka sh 200000 kila mwezi,kupewa nyumba ya kuishi ikiwa samani zake.
Ila mpaka sasa sina nyumba ya serekali,wala mlinzi,wala kulipwa fedha za mawasiliano,vyote natumia fedha zangu...kama ningetaka ningedai mambo mengi ambayo natakiwa kupata lakini kulingana na hali ya uchumi wa nchi ni lazima nitumie fedha zangu ili kunusuru uchumi" alisema.
Source: Tanzania daima 22 june, 2012
Hutakiwi kuwa genius ili kufigure out mantiki ya Mh Mbowe ya kuamua kulichukua gari la KUB.alitoa hoja na akawa mfano kwa yeye mwenyewe kulirudisha gari serekalini.akakaa miezi sita akiwa anatumia usafiri wake mwenyewe.point yake ni kwamba alitaka kuwaonyesha serekali kwamba inawezekana kwa kiongozi kuishi bila magari ya kifahari ya serekali.Kufuatia tuhuma zilizo elekewa kwake juu ya matumizi shangingi la kambi ya upinzan mbowe alikua na haya yakusema:
"Mimi nilikataa gari kwa kipindi cha miezi sita na nikawa natumia gari langu kwa shughuli zote za vikao vya bunge,lakini nataka umma uelewa kuwa kwa nafasi yangu natakiwa kulipwa posho ya madaraka sh 200000 kila mwezi,kupewa nyumba ya kuishi ikiwa samani zake.
Ila mpaka sasa sina nyumba ya serekali,wala mlinzi,wala kulipwa fedha za mawasiliano,vyote natumia fedha zangu...kama ningetaka ningedai mambo mengi ambayo natakiwa kupata lakini kulingana na hali ya uchumi wa nchi ni lazima nitumie fedha zangu ili kunusuru uchumi" alisema.
Source: Tanzania daima 22 june, 2012