Hapo tuhuma haijajibiwa; badala yake ameibua malalamiko yake ingawa hajaiweka kimalalamiko zaidi; suala la kutofuatilia stahiki yako ya makazi,Samani na Mlinzi hilo laweza kuwa ni tatizo pia kwa namna mbili tofauti.
Moja ana uhakika gani kama stahiki yake aloiacha inaingia kwenye kusaidia uchumi wa Taifa na hauliwi na walafi kwa maana upo ndani ya utaratibu!!
Pili kwa kutofuatilia haki yake haoni kwamba kuna haja pia ya kuja kututhibitishia kuwa hata House allowance nayo hapokei!!
Maadam kaamua kujibu. Mbowe pia atueleze kwa nini waandishi wa gazeti lake la Tanzania Daima linalosimamiwa na mkewe hawalipwi mishahara.
Na aseme kwa nini mkewe hivi karibuni aliwajibu wahariri wake kifedhuli kuwa "asiyetaka kazi bila malipo aache! "
Nilifikiri matatizo ya kuzuwa kwenye tarakimu za mahesabu ni tatizo la waziri wenu kivuli kumbe wote mnatatizo hilo?
Hiyo hesabu yako (niliyokuwekea nyekundu hapo juu) ni uongo na uzushi. Weka hesabu za ukweli.
Mwizi ni mwizi tu,hawa wanasiasa si watu.
Kufuatia tuhuma zilizo elekewa kwake juu ya matumizi shangingi la kambi ya upinzan mbowe alikua na haya yakusema:
"Mimi nilikataa gari kwa kipindi cha miezi sita na nikawa natumia gari langu kwa shughuli zote za vikao vya bunge,lakini nataka umma uelewa kuwa kwa nafasi yangu natakiwa kulipwa posho ya madaraka sh 200000 kila mwezi,kupewa nyumba ya kuishi ikiwa samani zake.
Ila mpaka sasa sina nyumba ya serekali,wala mlinzi,wala kulipwa fedha za mawasiliano,vyote natumia fedha zangu...kama ningetaka ningedai mambo mengi ambayo natakiwa kupata lakini kulingana na hali ya uchumi wa nchi ni lazima nitumie fedha zangu ili kunusuru uchumi" alisema.
Source: Tanzania daima 22 june, 2012
Maadam kaamua kujibu. Mbowe pia atueleze kwa nini waandishi wa gazeti lake la Tanzania Daima linalosimamiwa na mkewe hawalipwi mishahara.
Na aseme kwa nini mkewe hivi karibuni aliwajibu wahariri wake kifedhuli kuwa "asiyetaka kazi bila malipo aache! "
|
| |
|
Akizungumzia tuhuma zilizotolewa na wabunge wa CCM, Mwigulu Nchemba (Iramba Magharibi) na Mbunge Livingstone Lusinde (Mtera), kuwa anawahadaa Watanzania kwa kukataa gari kuu kuu la Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB), lakini akageuka kwa mlango wa nyuma na kuchukua jipya, Mbowe alisema kauli hizo ni za kisiasa.
Mbowe alisema ni kweli kuwa hivi sasa analitumia gari la KUB ambalo alilikataa kwa kipindi cha miezi sita bila kulitumia, lakini Serikali imekataa kuba
magamba mna lingine.??
hiyo habari iko ukarasa wa ngapi mbona sijaiona kwenye hilo gazeti lililotajwa?
Jibu bado halijaonekana hapo sababu ya kulirudia. Ni kwa sababu hajapewa nyumba na samani zake? Ni kwa sababu hjataka hela ya mawasiliano? Ni kwa sababu anatumia ulinzi binafsi?
Nafikiri hapa mwenyekiti wetu ukiri kuwa ni ajali ya kisiasa. Ulirudisha mbele ya waandishi wa habari, ilibidi ulirudie hivo hivo.
hivi ile kashfa ya tecknohama inayomhusu
mama junior imeshapelekwa kisutu