Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh Mbowe jana alifanya MIKUTANO MIKUBWA MIWILI ya kuwanadi wagombea udiwani kata ya GENGE Yosepher Komba, na Kata ya TINGENI Omary Khatibu! Wilaya ya Muheza Mkoa wa Tanga. Umati wa wananchi uliofurika katika Mkutano wa CHADEMA ulisababisha CCM na CUF waahairishe Mikutano yao kwa kukosa watu wakuwasikiliza. Mbowe amewasihi watu wa Tanga Muheza Wasiijaribu tena CCM, anasikitishwa sana na hali mbaya ya Mkoa wa Tanga, huku CCM wakijitapa Tanga ni Ngome yao. Tarehe 16/06/2013 Tanzania nzima Jicho lote wanaangalia MUHEZA watafanya Maamumizi gani?