Kesi imeisha DPP kaingia mitini!

DPP kaamua kutunyima elimu ya uraia bila sababu, starehe ya kuona wakubwa wakilamba mchanga kwa midomo yao, katunyima kujua medani za wasiojulikana, katunyima kujua makomandoo walifukuzwaje kazini kwao, katuaacha bila kutuonyesha majaji wa Magufuli ni wepi....

Ukweli nimesononeka sana tena sana bora kesi ingeendelea ili tuone ndani ya box mpaka chini kabisa kuna kitu gani
 
Mahakama na magereza hizi issues huwa tunawasingizia tu shida iko kwetu uraiani huku tungekuwa na hofu ya Mungu .

haya yote yasingekuwepo kwa sababu sisi kwa sisi ndiyo tunasingiziana makosa na kupelekana huko sasa mpaka mahakama ije ijuwe huna kosa umesota sana na pengine mahakama ishindwe kujuwa kuwa huna kosakutokana na mshitaki alivyojipanga kukushitaki

mahakimu siyo malaika waweze kujua moja kwa moja kuwa huyu hana kosa wao wanacheza na sheria tu
Siyo kweli! Kama ulifuatilia hiyo kesi kulikuwa na ushahidi gani wa Jaji kuamua kuwa wana kesi ya kujibu? Jaji amejiabisha sana na kuaibisha Judiciary. Huhitaji kuwa mwanasheria kufahamu kesi ya Mbowe ilikuwa ni kutaka kumkomoa tu
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Hujielewi
 
Wacha sasa tuendelee kupanga MIKAKATI ya kichama baada ya M/kiti wetu wa CHADEMA Taifa, Mh. Freeman Mbowe kuachia HURU.
 
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.

Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.

Ni imani yangu Simon wa Kirene atatuongoza!

Updates;

Nawatakia Chadema wote Ibada njema ya Njia ya Msalaba.

Mungu ni MWEMA wakati wote.

Jumaa kareem.

The End.
😂😂😂
 
Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.
Njia ya Msalaba???,,........ wa yule kijana zeruzeru wa kizungu au msalaba gani weye unasema???? mbona mnatuchezea akili nyie watu!!
 
Back
Top Bottom