Ni baunsa wa Diamond
Mkuu jiangalie vizuri hasa wakati unapokuwa unajisafisha kinyeo
Ni kweli huu wimbo bonge la wimboWimbo mkali video ni Kali mno
Kizazi hiki bila kuvaa hereni unaonekana sio msanii.
Nasimama na wewe!
nimecheka mbavu cna khaaahUmeniwahi...
Zuchu hana tofauti na Hawa wa nitarejea
Kachangamka tu
Hivi eti Mboso & Zuchu nani mrembo
Mkuu jiangalie vizuri hasa wakati unapokuwa unajisafisha kinyeo
Ngapi ngapi!?Ngoja nifuatilie matokeo ya mechi kati ya timu ya Mali na Uganda.