Je huyu si Mboni Masimba a.k.a Kim Kadashan humu?
Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa nyumbani kwaa ni kijiji cha Mkuzi kule Muheza na anatokea Ukoo wa Chief Mang'enya ambaye mtoto wake mmoja Meja Jenerali Mang'enya aliwahi kuwa speker wa bunge na alifariki hivi karibuni na kuzikwa kwao Muheza.............