Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Upinzani wamepigwa na kupigika, wamepoteana, wanatapa tapa kama kuku aliyekatwa kichwa. Wamebaki kuanzia vijiuzi visivyo na nyuma wala mbele. Pathetic
Akijifanya rais huku rais mwenyewe akiwa wapi?Huyu kishalipuliwa kwamba ndiye anayejifanya Rais kwa maamuzi akishirikiana na Mchengerwa , sasa anaweweseka