Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,003
- 12,466
Umofia kwenu wadau,
Nashangaa wapinzani na ajenda zenu za kuvuruga amani kwa kushirikiana na mabeberu mnajitahidi muonekane wa maana. Mjue kuwa Mungu alishaamua kuikomboa Tanzania, hata mfanyeje, hakuna wa kurudi nyuma, nyie mnao sapoti majizi mtakoma, lazima Tanzania mpya isonge mbele.
Sifuahishwi kabisa na unafiki wa wapinzani kukosoa serikali.
Nashangaa wapinzani na ajenda zenu za kuvuruga amani kwa kushirikiana na mabeberu mnajitahidi muonekane wa maana. Mjue kuwa Mungu alishaamua kuikomboa Tanzania, hata mfanyeje, hakuna wa kurudi nyuma, nyie mnao sapoti majizi mtakoma, lazima Tanzania mpya isonge mbele.
Sifuahishwi kabisa na unafiki wa wapinzani kukosoa serikali.