MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,744
- 48,385
Tumesafiri kikazi na jamaa yangu fulani Mtanzania. Sasa yeye muda mwingi baada ya shughuli za kazi huwa anaingia chumbani hotelini na kubaki humo ndani muda wote, ilhali mimi na wenzangu tunatoka na kuserebuka mjini, tunamuacha na tukirudi tunamkuta ametulia anasoma soma wala hataki kabisa kutoka.
Tatizo ambalo sielewi ni pale mkewe amekua mgomvi, anampigia simu na kufuata fuata akimtuhumu mambo ya ovyo. Kuna siku jamaa alikua amelala na aliweka simu kwenye silent mode, alipoamka akakuta miscalls nyingi sana za mkewe, na meseji kibao za ugomvi.....yaani kichizi.
Sasa swali langu kwa wanawake, hususan mlioolewa, mbona mnakua na wivu wa kijinga hivi? Mnafahamu kwamba nyie ndio chanzo cha waume zenu kuchepuka maana kama ukimzingua sana hivi inabidi awe na mchepuko basi ili ndio tuhuma zako ziwe na mantiki. Na kingine, nani aliwadanganya kwamba kupiga piga simu ovyo na meseji ndio zitazuia mwanaume kuchepuka. Mtie akili jamani.
Tatizo ambalo sielewi ni pale mkewe amekua mgomvi, anampigia simu na kufuata fuata akimtuhumu mambo ya ovyo. Kuna siku jamaa alikua amelala na aliweka simu kwenye silent mode, alipoamka akakuta miscalls nyingi sana za mkewe, na meseji kibao za ugomvi.....yaani kichizi.
Sasa swali langu kwa wanawake, hususan mlioolewa, mbona mnakua na wivu wa kijinga hivi? Mnafahamu kwamba nyie ndio chanzo cha waume zenu kuchepuka maana kama ukimzingua sana hivi inabidi awe na mchepuko basi ili ndio tuhuma zako ziwe na mantiki. Na kingine, nani aliwadanganya kwamba kupiga piga simu ovyo na meseji ndio zitazuia mwanaume kuchepuka. Mtie akili jamani.