Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Wakuu bila shaka mtakubaliana nami kuwa wanawake hutambulisha waume zao bila kuuma maneno yaani 'huyu ndiye mume wangu'. Kwa upande wa wanaume hali naona huwa tofauti kwani utawasikia 'huyu ndo shemeji yako' huyu ndo mama watoto' huyu ndo mamsap' huyu ndo mama polisi' n.k. Akijitahidi sana utasikia 'huyu ndo my wife'. Hivi tatizo ni nini wanandoa wenzangu?