field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,730
Serikali imesema wanafunzi wanalipwa mikopo lakini mbona hiyo mikopo inalipwa robo tu hadi nusu?
Kama unamlipa mwanafunzi mkopo ambao ataurejesha, kwanini umpe mkopo ambao haumtoshelezi?
Mbona tunajisifia kuwa tunakusanya kodi kubwa kila mwezi lakini wakati wa kulipa ni matanga?
Hata wanafunzi wa elimu ya juu siyo wengi kulinganisha na majirani lakini tunashindwa kuwapa mikopo ambayo watailipa baadaye?
Kama ni kumlipia ada ya elimu ya juu kwanini serikali yetu ishindwe kulipia wanafunzi? Ina maana pesa hizo tunazokusanya hazitoshi?
Mheshimiwa Rais, hilo suala la Mikopo ya wanafunzi ni vyema lifanyike vizuri.
Kama unamlipa mwanafunzi mkopo ambao ataurejesha, kwanini umpe mkopo ambao haumtoshelezi?
Mbona tunajisifia kuwa tunakusanya kodi kubwa kila mwezi lakini wakati wa kulipa ni matanga?
Hata wanafunzi wa elimu ya juu siyo wengi kulinganisha na majirani lakini tunashindwa kuwapa mikopo ambayo watailipa baadaye?
Kama ni kumlipia ada ya elimu ya juu kwanini serikali yetu ishindwe kulipia wanafunzi? Ina maana pesa hizo tunazokusanya hazitoshi?
Mheshimiwa Rais, hilo suala la Mikopo ya wanafunzi ni vyema lifanyike vizuri.