Mbona wakati wa sasa watu wa PCM, PCB, CBG wanafaulu sana kidato cha sita kuliko enzi zetu au kizazi hiki ubongo wao mzuri zaidi?

Sasa kujua vitu na kuwa mweusi tii au kukomaa vina uhusiano gani?
Uwezo wa mtu hauna uhusiano na hivyo vitu.wach kunasibisha elimu na vitu vya kijinga.
Watunzi wenyewe ndio kina Wema Sepetu, Pierre na Amber rutty. Enzi hizo ukiambiwa huyu ni mwalimu wa hesabu mwenyewe unafurahi. Kakomaa , mweusi ti, mrefu halafu hajui kucheka.
 
Sasa kujua vitu na kuwa mweusi tii au kukomaa vina uhusiano gani?
Uwezo wa mtu hauna uhusiano na hivyo vitu.wach kunasibisha elimu na vitu vya kijinga.
Pole sana dada Amber Rutty kwa kukuudhi. Sitarudia tena niwie radhi dada.
Kumbe imekugusa....dah ...i am sorry.
Mbagala wazima?
 
Kuna somo linaitwa Economics ni mwaka wa 3 sasa hawajapata A

I Hate UCHUMI as Much as I can, NALICHUKIA HILO SOMO DUNIA

Paper ya 2012 ya uchumi sitaisahau aisee, kwa miaka 2 sikufikisha mara 30 kulisoma, na bora hata sikusoma ila nikalamba E, nikabaki nashangaa
 
Aisee wewe ni bonge la mpuuzi, anyway kwa mazingira ya kishenzi na kipumbavu na kimaskini uliyokulia utajiona uko sawa.
Wewe ni fa.la unayafahamu mazingira niliyokulia mimi? do you know me!? shenzy type..
 
Hehe. Ubora wa elimu haupimwi kwa rula! Kama wanafunzi wanaelewa basi wafaulu tu usituletee mentality za kikoloni hapa!
Unaelewa kwa nini Mungai akiwa waziri wa elimu watu walilalamika mitaala ilipobadilishwa na kuonekana kama ubora wa elimu unashushwa. Unaelewa kwa nini huko makazini kuna malalamiko mengi kwamba vijana wanaoajiriwa miaka ya hivi karibuni hawako competent, usicheze kabisa na elimu utajikuta unatengeza taifa la vilaza waliokwenda shule
 
Daah! Kweli kabisa,Yaani enzi hizo ukipata "E" mbili kidume University unaenda na Mkopo 100%.Unakuta masela wamepiga E moja na SS za kuendea Diploma.Now days Vijana wanafaulu sana au wanafaulishwa.
sitosahau darasa la 7 mwaka 2010 kudadeki unapewa karatasi ya kujibia nyeupeeeeee na karatasi la maswali ya hesabu hakuna hata la kuchagua.Dadeki. unataman hadi kulia lakini madogo wa siku hizi mpaka paper za kiswahili unachagua jibu aisee
 
Bongo bana ultaka wafel kama wwe acha mdg wafnye yao AF hapo miak ya nyuma uksoma PCB, PCM PGM unaongopka mpk na wwe unaziogp hzo comb lakn nw imezoeleka
 
Wewe ni fa.la unayafahamu mazingira niliyokulia mimi? do you know me!? shenzy type..
Nakujua fika kwamba wewe ni mpumbavu na kijana uliyekulia mashenzini kutokana na lugha ya matusi unayotumia. Hongera kwa kujua kusoma na kuandika maana pale ulipokulia kila mmoja anakushangaa unajua kusoma.
Ila you should know this. You can uproot somebody from a slum, but you will never remove the slum out of the person. Kwaheri
 
Kuna la kujiuliza kuhusu uhalisia wa matokeo ya sasa ?? kwa kuwa ni matokeo na waliofaulu watajiunga vyuo basi mwaka 2021 jaribu kupitia matokeo ya baadhi ya vyuo kwa mwaka wa kwanza utuletee mrejesho wa ufaulu tutakuwa tumepata ,majibu sahihi
 
Unaelewa kwa nini Mungai akiwa waziri wa elimu watu walilalamika mitaala ilipobadilishwa na kuonekana kama ubora wa elimu unashushwa. Unaelewa kwa nini huko makazini kuna malalamiko mengi kwamba vijana wanaoajiriwa miaka ya hivi karibuni hawako competent, usicheze kabisa na elimu utajikuta unatengeza taifa la vilaza waliokwenda shule
Kwahiyo waliosoma zamani ndio wako competent? Mbona kuna vilaza wengi tu tunawaona huko makazini na ni wazee tupu! Acheni ubabaishaji ninyi! Ubora wa elimu haupimwi kwa rula!
 
Nakujua fika kwamba wewe ni mpumbavu na kijana uliyekulia mashenzini kutokana na lugha ya matusi unayotumia. Hongera kwa kujua kusoma na kuandika maana pale ulipokulia kila mmoja anakushangaa unajua kusoma.
Ila you should know this. You can uproot somebody from a slum, but you will never remove the slum out of the person. Kwaheri
Acha kutafuta wanaume kwa nguvu, huyo unayemtetea mwenyewe kagundua alibugi kuniuliza hilo swali na akajaribu kuwa mwelewa. Watu wenye elimu ya kuungaunga mnaeleweka tu kwa kushambulia elimu za watu wengine, eti hongera kwa kujua kusoma na kuandika, do you know my qualifications!? au unatafuta umaarufu humu JFkupitia kwangu? bi.tch
 
Hiz kombi wanachukua wenye ufaulu mzuri. Ukiwafatilia vizuri wanakuwa wamefaulu vizuri toka shule ya msingi, na form 4. Ni tofaut na hizi za art ambazo wengi huchukua baada ya kuwa na ufaulu mdogo apo nyuma.
Hujamuelewa! anauliza, kwa nini siku hizi wanafaulu kwa wingi PCB,CBG na PCM tofauti na kipindi cha miaka ya nyuma? Hajauliza kwa nini wanafaulu zaidi kuliko masomo ya art?
 
Acha kutafuta wanaume kwa nguvu, huyo unayemtetea mwenyewe kagundua alibugi kuniuliza hilo swali na akajaribu kuwa mwelewa. Watu wenye elimu ya kuungaunga mnaeleweka tu kwa kushambulia elimu za watu wengine, eti hongera kwa kujua kusoma na kuandika, do you know my qualifications!? au unatafuta umaarufu humu JFkupitia kwangu? bi.tch
I have said this before and l will say it again " You can take a person out of a slum , but you can not take that slum mentality out of her"
 
I have said this before and l will say it again " You can take a person out of a slum , but you can not take that slum mentality out of her"
The same as I said, when you are a bi.tch you will keep on seeking men attention so that you may not miss a daily hook
 
Ni sawa na kuuliza kwa nini sasa hivi wenye degree ni wengi kuliko zamani..ni swali halina mantiki kabisa.

Ni sawa na kuuliza kwa nini sikuhizi kuna magari mengi kuliko baiskeli.ni swali halina mantiki kabisa.

Mamtu yaliyosoma zamani waliamini kwamba mambo magumu sana wakati kumbe huwenda hakukuwa na mtanuko wa utandawazi
Chuki binafsi zimekujaa nafsini mwako. Hoja hujibiwa kwa hoja, kama walivyofanya wenzako.
 
Back
Top Bottom