Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,338
- 6,616
Mkuu maadili ya mtoto yanachangiwa na wazazi wapo vijana wengi Wana maadili mazuri Tu Kwa sababu wamelelewa vizuri, usisubili dunia imfundishe mtoto wako atakutana na mengi na maadili yatakuwa mabaya,mwongoze kijana wako apate uelewa
Upo sawa kabisa ndio maana huko juu nimehusisha na kupungua kwa maadili ndio chanzo cha kuporomoka kwa elimu