Mbona wakati wa sasa watu wa PCM, PCB, CBG wanafaulu sana kidato cha sita kuliko enzi zetu au kizazi hiki ubongo wao mzuri zaidi?

Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma
Tanzania bado watu wengi wana kasumba ya kuona kuwa masomo yanayofelisha wanafunzi kwa wingi ndiyo hutowa ma-graduate wenye ujuzi. Bado tuna ile kasumba ya kuona kwa mfano chuo kikuu kinachofelisha sana ndiyo ''hupika'' wanachuo wazuri. Hii ni kasumba mbovu. Wanafunzi kufeli kwa wingi inaonyesha kasoro kwenye ufundishaji au kutahini. Siku hizi njia za wanafunzi kusoma zimekuwa nyingi hasa baada ya kuingia kwa internet. Pia uelewa na umuhimu wa elimu unaonekana zaidi kuliko zamani.
 
Miaka ya nyuma mtu akifaulu amefaulu kweli na kichwani yupo vizuri, uzuri aina ya walimu inajulisha nini kinaendelea kwa sasa na hata mitihani imekua dhaifu sana, serikali boresheni mazingira ya walimu zama zinabadilika kuishi kiujamaa na walimu ni dhambi
 
Mtizamo wangu

Sasa hivi kuna source nyingi sana za material kuliko hapo nyuma ambapo tulikua tunasoma zaidi past paper kuliko vitabu

1.Solution nyingi zinapatikana ndani ya Internet using search engines, Youtube etc
Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma
 
Mtizamo wangu
Sasa hivi kuna source nyingi sana za material kuliko hapo nyuma ambapo tulikua tunasoma zaidi past paper kuliko vitabu
1.Solution nyingi zinapatikana ndani ya Internet using search engines, Youtube etc
Mkuu ulichoongea hakina uhalisia you tube hizi hizi zilizojaza Amber ruty na ushilawadu mwingi, yani sisi tu watu wazima kutumia mitandao kwa faida bado kuna tatizo sembuse vijana, clip kibao mitandaoni watoto wanakata viuno, tatizo kubwa sana sasa hivi ni maadili ya wazazi kushuka, zamani mtoto kujua baba amegombana na mama ni ishi, ila sasa hivi mtoto anajua hadi michepuko ya mzazi, sasa tunafundishana nini kimaadili
 
Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma
Kuunga mkono juhudi.

Awamu ya Stigla, Esigiara, Bombadia, Drimulaina lazima ufaulu ufuate nyayo kuweka historia ya awamu. Kesho tutasikia ufaulu bora toka tupate uhuru kumbe kanyaboya
 
Mkuu ulichoongea hakina uhalisia you tube hizi hizi zilizojaza Amber ruty na ushilawadu mwingi, yani sisi tu watu wazima kutumia mitandao kwa faida bado kuna tatizo sembuse vijana, clip kibao mitandaoni watoto wanakata viuno, tatizo kubwa sana sasa hivi ni maadili ya wazazi kushuka, zamani mtoto kujua baba amegombana na mama ni ishi, ila sasa hivi mtoto anajua hadi michepuko ya mzazi, sasa tunafundishana nini kimaadili
Kama huwa unaingia youtube kumuangalia amba rutty sio kila mtu anafanya hivyo.
Huko youtube kuna lessons na materials za kufa mtu. Unaweza ukaingia darasani kidogo, ukaangalia na youtube ukafaulu. Mfano ni channel moja inaitwa PBS Crash Course.
 
Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma


Kumbuka mara baada ya Ndalichako kuondoka pale NECTA aliyembadili alifanya BRN kwa matokeo yaleyale aliyoyasimamia kihalali Ndalichako
 
Ni moja kati ya masomo rahisi sana kufaulu unapokuwa na msingi mzuri.Kitendo cha serikali kuwapa priority watu wasomao masomo ya sayansi katika kupata mikopo kwa ngazi ya elimu ya juu ndicho kinachofanya wazazi na walezi wengi kuwandaa vijana wao katika masomo hayo toka ngazi za chini hivyo kuwa na msingi mzuri wa kukabiliana nayo kuweza kufaulu kwa urahisi.
 
Tanzania bado watu wengi wana kasumba ya kuona kuwa masomo yanayofelisha wanafunzi kwa wingi ndiyo hutowa ma-graduate wenye ujuzi. Bado tuna ile kasumba ya kuona kwa mfano chuo kikuu kinachofelisha sana ndiyo ''hupika'' wanachuo wazuri. Hii ni kasumba mbovu. Wanafunzi kufeli kwa wingi inaonyesha kasoro kwenye ufundishaji au kutahini. Siku hizi njia za wanafunzi kusoma zimekuwa nyingi hasa baada ya kuingia kwa internet. Pia uelewa na umuhimu wa elimu unaonekana zaidi kuliko zamani.
Usisahau tunakaribia uchaguzi mkuu
 
Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma

Siku hizi siasa za ccm zimeathili sana Elimu

Quantitatively wanalazimisha ufaulu wa idadi kubwa.

Quantitatively wanalazimisha numbers na grades ziwe za juu

Ukweli mitihani ni hafifu sana na haina qualities kama siku za huko nyuma.

Kifupi siasa za ccm zinaathili taasisi nyingi.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom