Mbona wakati wa sasa watu wa PCM, PCB, CBG wanafaulu sana kidato cha sita kuliko enzi zetu au kizazi hiki ubongo wao mzuri zaidi?

Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma
Siasa imeingia uwanjani na matokeo yake magoli yameongezwa upana ili iwe rahisi kufunga magoli pia!!!!
 
Ni moja kati ya masomo rahisi sana kufaulu unapokuwa na msingi mzuri.Kitendo cha serikali kuwapa priority watu wasomao masomo ya sayansi katika kupata mikopo kwa ngazi ya elimu ya juu ndicho kinachofanya wazazi na walezi wengi kuwandaa vijana wao katika masomo hayo toka ngazi za chini hivyo kuwa na msingi mzuri wa kukabiliana nayo kuweza kufaulu kwa urahisi.
Science ni msuli mzito sana

Sio masomo rahisi

Yanahitaji akili na juhudi kubwa
 
Sasa hivi materials ya kusoma yanapatikana kirahisi sana sio kama enzi zetu hivo wanafunzi wanaelewa kirahisi sana. Ni rahisi sasa hivi mwanafunzi kufaulu akiwa serious kuliko zamani. Naongea kama mdau niliopo kwenye sekta ya elimu.
 
Siku hizi wame lower pass mark. Miaka ya 70 na 80 ukisikia mtu kapaya div 2 PCB mpe shika moo. PCB div 1 mpaka 3 ndio walikua wanachukua udakitari Muhimbili. Enzi hizo Muhimbili wanachukua wanafunzi 45 wanamaliza 23 na mmoja dentist. Hiyo ni nchi nzima. Madaktari hawa walikua hata akiangalia viatu vyako tu anajua unaumwa nini. Kipindi hicho hosp za wilaya zilikua na Dr. Wa degree 1 tu.
Sasa enzi hizo ukute mtu anaitwa daktari bingwa . Yaani we acha tu. Lazima kwanza akae karibu na muhimbili. Lazima nyumbani kwake kuliwe kuku kila siku. Eti sasa IMTU kinatoa daktari ananitibu mimi? Imtu??? Nonsense
 
Mkuu ulichoongea hakina uhalisia you tube hizi hizi zilizojaza Amber ruty na ushilawadu mwingi, yani sisi tu watu wazima kutumia mitandao kwa faida bado kuna tatizo sembuse vijana, clip kibao mitandaoni watoto wanakata viuno, tatizo kubwa sana sasa hivi ni maadili ya wazazi kushuka, zamani mtoto kujua baba amegombana na mama ni ishi, ila sasa hivi mtoto anajua hadi michepuko ya mzazi, sasa tunafundishana nini kimaadili
Do not underestimate what internet can offer. Mazingira tu yanatofautisha ni nini mtu anatafuta huko. Ila siku hizi kila kitu kipo humo. Kama mzazi ukiweza kucontrol nini mtoto afuate internet, basi atafanikiwa.
 
Siku hizi wame lower pass mark. Miaka ya 70 na 80 ukisikia mtu kapaya div 2 PCB mpe shika moo. PCB div 1 mpaka 3 ndio walikua wanachukua udakitari Muhimbili. Enzi hizo Muhimbili wanachukua wanafunzi 45 wanamaliza 23 na mmoja dentist. Hiyo ni nchi nzima. Madaktari hawa walikua hata akiangalia viatu vyako tu anajua unaumwa nini. Kipindi hicho hosp za wilaya zilikua na Dr. Wa degree 1 tu.
Sasa enzi hizo ukute mtu anaitwa daktari bingwa . Yaani we acha tu. Lazima kwanza akae karibu na muhimbili. Lazima nyumbani kwake kuliwe kuku kila siku. Eti sasa IMTU kinatoa daktari ananitibu mimi? Imtu??? Nonsense
Jinyonge tu kama ulifeli. Waache vijana wazidi kupeta!
 
Ukiwa unapenda kusoma you tube kuna lectures nzuri sana, topic yeyote unayotaka. Sisi hatukuwa navyo hivyo. Kitabu cha ABBOT kitatembea kutoka chuo kikuu mpaka Mbagala

Ni kweli kabisa, lakini kinachonishangaza ni deteriorating quality ya wahitimu wetu vyuo vikuu. Wengi wao leo ni useless katika uhalisia wa maisha!
 
Siku hizi wame lower pass mark. Miaka ya 70 na 80 ukisikia mtu kapaya div 2 PCB mpe shika moo. PCB div 1 mpaka 3 ndio walikua wanachukua udakitari Muhimbili. Enzi hizo Muhimbili wanachukua wanafunzi 45 wanamaliza 23 na mmoja dentist. Hiyo ni nchi nzima. Madaktari hawa walikua hata akiangalia viatu vyako tu anajua unaumwa nini. Kipindi hicho hosp za wilaya zilikua na Dr. Wa degree 1 tu.
Sasa enzi hizo ukute mtu anaitwa daktari bingwa . Yaani we acha tu. Lazima kwanza akae karibu na muhimbili. Lazima nyumbani kwake kuliwe kuku kila siku. Eti sasa IMTU kinatoa daktari ananitibu mimi? Imtu??? Nonsense
Mkuu mbona umeishusha sana IMTU??
 
Aisee kuna chuo sitakitaja jina mhitimu mmoja mtarajiwa (mwaka wa tatu) alikua anabishana na mwenzake kuwa sisi binadamu na vitu vyote duniani tunaishi wapi katika tufe la dunia.

Majibu yake aisee nilichoka, anasema tupo ndani ya lile tufe, mwenzake kamwambia tupo juu kwenye uso wa tufe.. jamaa kakomaa kuwa kama tungekua nje si tungeungua na jua au bahari ingemwagika??

Kilichoniumiza ni third year na anafanya mitihani ya kumaliza degree ya kwanza kada ya elimu. (Mwalimu)

Sasa vitu vya kidato cha kwanza havielewi kbs..

Mi sishangai watu wanafulu saivi kutimiza mahitaji ya taasisi ya elimu ila vichwani wengi wao weupe vibaya mno.
 
Mkuu ulichoongea hakina uhalisia you tube hizi hizi zilizojaza Amber ruty na ushilawadu mwingi, yani sisi tu watu wazima kutumia mitandao kwa faida bado kuna tatizo sembuse vijana, clip kibao mitandaoni watoto wanakata viuno, tatizo kubwa sana sasa hivi ni maadili ya wazazi kushuka, zamani mtoto kujua baba amegombana na mama ni ishi, ila sasa hivi mtoto anajua hadi michepuko ya mzazi, sasa tunafundishana nini kimaadili
Kwenye internet inategemea unatafuta nini maana inankila kitu, wewe inawezekana unahangaika na akina umber Ruti lakini wengine wanatafuta vitu vyenye manufaa zaidi, internet ina kila aina ya information unayotaka ukitaka utajiri utapata, ukitaka Malaya utapata, ukitaka neno la Mungu utapata, tatizo ni wewe sio internet
 
Back
Top Bottom