Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,692
- 32,997
Juzi nimekutana truck moja semi limeandikwa kama hana mvuto kalale na sumaku😂Hawana mvuto
Juzi nimekutana truck moja semi limeandikwa kama hana mvuto kalale na sumaku😂Hawana mvuto
Hao ni followers wao yaani Kuna mambo wanakuwa wanayakubali kutoka kwao hivyo wanakwenda kuwasapoti, Sasa huku mbunge anakuja akiwa Hana alichofanya kiasi cha kuwakuna watu mioyo yao na yeye anakaa jukwaani kulalamika kama wananchi Sasa nani atamfollow mtu wa hivyo kiasi cha kuacha kazi zake?Ata America watu wanajazana kuwasikiliza wabunge wao
Hilo mbona liko wazi kabisa.Na 2025 watashinda Tena kwa kishindo
nasikia hata kuchefuchefu unavyoita wabunge. walichaguliwa na nani?Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50
Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.
Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.
Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.
Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sana
View attachment 2135981
View attachment 2136014