johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,373
- 138,531
Nauliza tu mbona hii kamati ya amani mkoa wa Dsm inayojumuisha viongozi wa dini mbalimbali iko kimya ilhali mwenyekiti wao sheikh Salum anashambuliwa mitandaoni?.......
Jamani viongozi wa dini Umoja ni nguvu na tutoke sasa tushughulike na wale wote wanaombughuzi sheikh Salum wa mkoa wa Dsm.
Nawatakia usiku mnono, ahsante!
Jamani viongozi wa dini Umoja ni nguvu na tutoke sasa tushughulike na wale wote wanaombughuzi sheikh Salum wa mkoa wa Dsm.
Nawatakia usiku mnono, ahsante!