Kweli bei zimekuchanganya mpaka umeleta uzi MMUMbona vifurushi vya internet vimepanda gafla hivyo kimya kimya. Inawezekana watu tukapotea Mitandaoni
Nilizoea Kwa halotel shillingi 5000 kwa GB 7 au shillings 1000 Kwa 1GB Kwa wiki . Sasa mambo yamebadilika kabisa nimekwenda voda , TTCL mambo bado tightKweli bei zimekuchanganya mpaka umeleta uzi MMU
Jiunge Mega bando kwa Halopesa upate Gb 2 kwa 3000Nilizoea Kwa halotel shillingi 5000 kwa GB 7 au shillings 1000 Kwa 1GB Kwa wiki . Sasa mambo yamebadilika kabisa nimekwenda voda , TTCL mambo bado tight