Tuma picha kwanza tukuoneMmejificha waaaaapiiii wajameni, mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi. Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni