Mkulu wawe
Member
- Mar 4, 2020
- 73
- 77
Mara ya kwanza niliona kawaida,mara ya pili nikaona kawaida Sasa Leo ni mara ya tatu yani mb133 zinaisha ndani ya mda chini ya dakika moja? inawezekana vipi?tena kwa 3g jamani Vodacom kuweni waungwana
Nakumbuka mara ya kwanza niliweka mb 100 kwa mia tano zikaisha ndani ya dk moja mara ya pili mb200 zikaisha nikawachek wakanambia Kuna application nimezifungua nikakubali tu ila haikuwa kweli
Sasa Leo nimewasha simu nikauliza salio zimebaki mb133 mara nikawasha data nikaingia telegram hata dakika haijaisha naambiwa mb zimeisha jamani alafu ukizingatia kifurushi hiking nimejiunga Jana kwa elfu 3 gb1 hii sio fair kabisa vodacom
Nakumbuka mara ya kwanza niliweka mb 100 kwa mia tano zikaisha ndani ya dk moja mara ya pili mb200 zikaisha nikawachek wakanambia Kuna application nimezifungua nikakubali tu ila haikuwa kweli
Sasa Leo nimewasha simu nikauliza salio zimebaki mb133 mara nikawasha data nikaingia telegram hata dakika haijaisha naambiwa mb zimeisha jamani alafu ukizingatia kifurushi hiking nimejiunga Jana kwa elfu 3 gb1 hii sio fair kabisa vodacom