SPANISH CP
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 465
- 228
- Thread starter
- #21
Kwann isiandikwe wakati ni sauti inayotambulika umbo lake!
tatizo si umbo la sauti!tatizo si uhalisia kati ya tendo na andiko.
Mtu humaliza kwanza hisia zake za kicheko then ndo anashika keyboard na kuandika hahahaaaa" hapo hakuna uhalisia.