Mbona sioni taarifa za madhara ya mvua

Liwagu

JF-Expert Member
Jan 25, 2017
5,289
6,339
Tumekuwa tukipata taarifa za madhara yanayo sababishwa na mvua kama hizi.

Hapa Dar mvua inanyesha tangia juzi usiku, jana mchana kutwa lakini sijaona popote taarifa ya uharibifu uliosababishwa na mvua.

Ama watu wako bize na Pasaka?.

Ama wanaogopa maambukizi ya Covid-19.
Je, hawa virus wa Covid-19 wanaweza kubaki kwenye madimbwi ya maji endapo alieambukizawa amekanyaga maji hayo?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Camera zilikuwa zinatumika kuonyesha madhara ya mvua zimehamishiwa kwa Ummy Teacher
 
Tumekuwa tukipata taarifa za madhara yanayo sababishwa na mvua kama hizi.

Hapa Dar mvua inanyesha tangia juzi usiku, jana mchana kutwa lakini sijaona popote taarifa ya uharibifu uliosababishwa na mvua.

Ama watu wako bize na Pasaka?.

Ama wanaogopa maambukizi ya Covid-19.
Je, hawa virus wa Covid-19 wanaweza kubaki kwenye madimbwi ya maji endapo alieambukizawa amekanyaga maji hayo?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona bado ina trend namba wani
 
TBC we ukiiangalia inatosha kiongozi.

Niambie kama tunaweza kuambukizana corona tuki kanyaga dimbwimoja la maji hapo jangwani ama mbagala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kukanyaga dimbwi huwezi. Ila wanawake wanaweza kuuzambaza kama walivyo sambaza ujimwi, kaswende na gonorrhea. Mbaya zaidi katika huu hata uvae con dom 2 ni kazi bure. Kitendo cha kujifungia gesti na kufungulia lile feni ujue tayari
 
Back
Top Bottom