Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,742
Niliposikia kuwa mzee wa rukhsa amezuru Magogoni, nilipata faraja kuwa huenda sasa mambo yakarudi kuwa 'kama zamani'.
Nilitegemea kuanzaia hapo Safari za nje kwa watumishi wa umma rukhsaaa, nilitegemea kuwa mikutano, semina na warsha kufanyikia kwenye hoteli binafsi, rukhsaaa, nilitegemea ajira mpya, rukhsaa nilitegemea mikutano ya vyama vya siasa rukhsaaaa, yani nilijua kuwa baada ya Mwinyi kutembelea Ikulu, 'hatimaye wokovu ungerejea nyumbani mwa Zakayo', but naona kimyaaaa.
Au mzee alienda tu kupongezaaa?
Nilitegemea kuanzaia hapo Safari za nje kwa watumishi wa umma rukhsaaa, nilitegemea kuwa mikutano, semina na warsha kufanyikia kwenye hoteli binafsi, rukhsaaa, nilitegemea ajira mpya, rukhsaa nilitegemea mikutano ya vyama vya siasa rukhsaaaa, yani nilijua kuwa baada ya Mwinyi kutembelea Ikulu, 'hatimaye wokovu ungerejea nyumbani mwa Zakayo', but naona kimyaaaa.
Au mzee alienda tu kupongezaaa?