Mbona sina hamu yakupenda au kuwa na mpenzi?

Justin Dimee

JF-Expert Member
Apr 17, 2012
1,146
248
Tangia tuachane na niliye kuwa nae awali sijisiki kumpenda mrembo yeyote. Naomba mnishauri nifanyeje? Ni heri niendelee hivi hivi kuwa mpweke au nijilazimishe kupenda? Sina mda tena na wasichana na sijisikii kupenda sababu nahisi hisia zimepotea gafla. Sijui ndio kusema kaondoka nazo huyu niliye mwacha?
 
Bora tu niwe pekee yangu kwan kunashda gan coz hawa mademu ni pasua vichwa sana natulia 2.
 
Komaa hivyo hivyo mkuu!! Utakujaga baadae kufikiria tena. Saizi upepo wa mapenzi haupo duniani kabisa, umehamia sayari zingine.
 
Mapenzi ni hisia ndugu. Inawezekana ulipokua na huyo ulie muacha ulimuamini sana na ulipanga vitu vingi then gafla mkatengana bila ya wewe kutegemea. Jipe muda kwanza wa kuyaa acha hayo yapite then taratibu utajikuta unavutiwa na kutaka kuingia kwenye mausiano. Usijilazimishe kupenda hakuna atakae kuona kua hauja kamilika.
 
Mapenzi ni hisia ndugu. Inawezekana ulipokua na huyo ulie muacha ulimuamini sana na ulipanga vitu vingi then gafla mkatengana bila ya wewe kutegemea. Jipe muda kwanza wa kuyaa acha hayo yapite then taratibu utajikuta unavutiwa na kutaka kuingia kwenye mausiano. Usijilazimishe kupenda hakuna atakae kuona kua hauja kamilika.

kweli yan hisia zimeyeyuka gafla 2 yan mtu tuna pendana tunafanya kila kitu alafu gafla bini vuu mtu unasema tuachane hata bila kosa mmh hawa mademu bna.
 
Sex relieves tension
- Love causes it -
Marriage Multiplies it!
A%20S-heart-2.gif

 
kweli yan hisia zimeyeyuka gafla 2 yan mtu tuna pendana tunafanya kila kitu alafu gafla bini vuu mtu unasema tuachane hata bila kosa mmh hawa mademu bna.

Mambo yote utokea kwasababu,vuta subira suni utayaona yalipaswa kutokea. Na sio wote wapo au watakua kama uyo,yawezekana
haikupangwa kua nae.
Take it easy
 
Tangia tuachane na niliye kuwa nae awali sijisiki kumpenda mrembo yeyote. Naomba mnishauri nifanyeje? Ni heri niendelee hivi hivi kuwa mpweke au nijilazimishe kupenda? Sina mda tena na wasichana na sijisikii kupenda sababu nahisi hisia zimepotea gafla. Sijui ndio kusema kaondoka nazo huyu niliye mwacha?

kwanini mliachana?
 
Achana nao hao pasua kichwa sana we Ukiwa na hamu tafuta dem wa kununua unapiga kila mmoja kivyake au Sabuni sio mbaya mara moja moja.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom