Jamani Simba na Yanga why wachezji wengi kiasi hicho, nimeona AL AHLY wamesajili wachezaj watatu. Sisi kama wanaocheza ni 11 why sasa tumesajili kama wachezaj 15 ina maana kuna wengine tutawaacha au
Labda mimi sielewi!!! Kuna wengine watakuwa ni benchi msimu mzima sasa
Labda mimi sielewi!!! Kuna wengine watakuwa ni benchi msimu mzima sasa