#COVID19 Mbona Serikali imetugawa katika chanjo ya COVID-19?

WaTanzania nikama tumelaniwa badala ya kuwaza postive tunashikilia trivial issues, wenzetu wanapambana na covid sasa wako huru kiasi, sisi tunajidili aina ya chanjo, cmna wana sayansi muhimbili tegenezeni ya kwanu.

Watu kama Gwajima wanao tumia udhaifu ya watu kuwa potosha zaid ni hatari kabisa ni kwasabb ni CCM ni basi tu.
Sisi mbona tupo huru full nondo
 
Back
Top Bottom