Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,237
Kwahiyo Wizara itoe tuzo kwa mwanahabari mtu anayefanya mambo kinyume na standards za jamii?..This is Bongo but hilo haliwezekani.Kupewa tuzo sio qualification kuwa mtu ni bora kama inakwenda kinyume na standards za jamii. Kumbuka hata wacheza filamu za ngono hupewa tuzo, je inamaanisha wao nao hawana shida katika jamii?!
Mimi nazungumzia maudhui wanayokuwa wanayajadili katika vipindi vyao muda mwingi. Kupewa tuzo kwasababu ya habari za kijamii mbona kama ni minor issue.
Geah Habib sio Mbovu kama ulivyomsema hapa.
I'm out.