Mbona Rais hajapiga marufuku siasa? Au kuna jingine?

Upo sahihi kabisa mkuu, katazo hili linahusiana na siasa za kiuhasama badala ya siasa za maendeleo
 
Kishanunuliwa huyu labda ipo siku atatwambia Magufuli kamnunua kwa kiasi gani hajitambui kabisa. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ubadili msimamo wako kama kinyonga anavyobadili rangi zake, ameamua kuwa msaliti kwa kuungana na mafisadi ili kuwatetea.
Wewe ndio mwenye msimamo?

Lowassa ni tumaini la mafisadi, wezi, wahuni, majangili na magaidi na wauza unga nchini. Haiwezekani kiongozi mzuri mwenye sifa za kuiongoza nchi aanze kampeni zake kwa kutoa rushwa ya mamilioni katika nyumba za ibada halafu akadaiwa eti ni "tumaini la Watanzania"

 
MM
Unadhani polisi kuzuia mikutano,maandamano na makongamano ya vyama vya upinzani ni "intelegensia" Yao?
Poor you
You out of touch with reality
 
Rais amesema watanzania tufanye kazi na tuache kupoteza muda kwenye siasa ambazo kwa upande mwingine zinakwamisha shughuli za maendeleo.

Pamoja na kwamba wito wa Rais Dr. Magufuli umepokewa kwa hisia tofauti, kuna jambo ni lazima liwekwe wazi mapema ili usawa katika mfumo wa vyama vingi uonekane.

Tusione viashiria vyovyote vitakavyotoa tafsiri kwamba serikali inafanya kazi ya kuwahudumia wananchi na siyo kukijenga chama. Taifa Kwanza, vyama baadaye.

Ninawasilisha!
Naona kuna haja ya Mh Rais atoe muongozo wa hicho alichokisema na shughuli za kisiasa maalumu ambazo anaona zikifanywa zinaweka pingamizi kwa yeye kuwaletea maendeleo wananchi waliomchagua yeye kwa kuwa na ilani bora. Maana sasa kila mtu anakuja na tafasiri yake.
Ukifanya haya unayoyawaza utakuwa umelichuma janga ujue utakula na ndugu zako tu. Uendako siko.
 
Wewe unampangia mtu nguo ya kuvaa aliyoinunua kwa pesa yake!!!.
 
Nami pia nimemsikiliza Rais Magufuoli sijaona sehemu aliyopiga marufuku siasa. Kwanza hana ruhusa kikatiba kupiga marufuku siasa. Anachotaka ni watanzania kuacha kupoteza muda majukwaani kupiga siasa na kudanganya watu kuhusu hatua anazozichukua kwani kufanya hivyo kutakwamisha utekelezaji wa yale yaliyoahidiwa na Rais wakati wa kampeni. Ni rahisi tu! Sasa hawa kina Zitto na wengine wanatoa wapi hiyo tafsiri?
 
Mawaziri na Serikali kwa ujumla wasitumie na wala kutaja CCM

Rais asitaje na wala kunadi chama chake kwenye hutuba au mazungumzo yoyote

Bali yote wayafanyayo wawe wanatumia neno SERIKALI

Inaelekea wewe ni muelewa kidigo ssna wa siasa
 
Back
Top Bottom