Unajua jamani radi ni kubwa balaa huku kwetu ila nikingalia t.v na taarifa za radia, sioni msisitizo ukilingana na ukubwa huu,
Huko tanga nako naambiwa kuna mama amefariki jana kwa Radi imempasua mgongoni na anazikwa leo.
Radi haihusiani na hali ya hewa wee mama?
Why unajicontradict mwenyewe? Kama ina uhusiano ndo maana ilitakiwa waseme ukubwa wa radi n.k
kwenu wapi?Unajua jamani radi ni kubwa balaa huku kwetu ila nikingalia t.v na taarifa za radia, sioni msisitizo ukilingana na ukubwa huu,
Huko tanga nako naambiwa kuna mama amefariki jana kwa Radi imempasua mgongoni na anazikwa leo.
jamaa anawaza kubeti tuuMkekaa?
Labda kwa mfano wangesemaje?Why unajicontradict mwenyewe? Kama ina uhusiano ndo maana ilitakiwa waseme ukubwa wa radi n.k
Unajua maana ya neno "utabiri"???Radi haihusiani na hali ya hewa wee mama?