Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,601
- 217,992
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mtu alikuwa mfanyakazi binafsi wa Sabaya, baadaye wakatofautiana kutokana na malipo, Yaani Sabaya alimdhulumu Kaaya malipo ya miezi mingi na ndipo Kaaya akaamua kuacha kazi za Sabaya.
Jambo la kuacha kazi lilimuudhi mtukufu Sabaya ambaye alilichukulia kama kiburi na dharau kwa DC, Sabaya akaamua kumkamata Kaaya na kumtengenezea kesi ya madawa ya kulevya, hadi makubaliano ya kutoa ushahidi wa uongo dhidi ya Mbowe yalipokamilika ndio akafutiwa mashtaka yake.
Kwa wasiomjua Eliya Kaaya aliyekuwa mtumishi binafsi wa Sabaya tumewawekea hapa Ushahidi mwanana, sasa mnatakiwa muelewe mashahidi wa kumfunga Mbowe walikotokea.
View attachment 1988464View attachment 1988465View attachment 1988466
Jambo la kuacha kazi lilimuudhi mtukufu Sabaya ambaye alilichukulia kama kiburi na dharau kwa DC, Sabaya akaamua kumkamata Kaaya na kumtengenezea kesi ya madawa ya kulevya, hadi makubaliano ya kutoa ushahidi wa uongo dhidi ya Mbowe yalipokamilika ndio akafutiwa mashtaka yake.
Kwa wasiomjua Eliya Kaaya aliyekuwa mtumishi binafsi wa Sabaya tumewawekea hapa Ushahidi mwanana, sasa mnatakiwa muelewe mashahidi wa kumfunga Mbowe walikotokea.
View attachment 1988464View attachment 1988465View attachment 1988466