Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 30,875
- 30,595
Ni kweli maana kubadili namba za zamani kuliisha na pikipiki zikahama... D imekuwa kwa magari ya kuagizwa toka nje ya TZ tuUkijumlisha na pikipikinzilizojua zinatumia namba A B C pamoja na magari na yale magari yaliyotoka kwny mfumo wa TZA TZB kama ulivosema jibu linapatikana kwann namba D imekaa sana...