Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,268
- 31,389
Ni kweli maana kubadili namba za zamani kuliisha na pikipiki zikahama... D imekuwa kwa magari ya kuagizwa toka nje ya TZ tuUkijumlisha na pikipikinzilizojua zinatumia namba A B C pamoja na magari na yale magari yaliyotoka kwny mfumo wa TZA TZB kama ulivosema jibu linapatikana kwann namba D imekaa sana...