Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,722
now is 6 yearsNi kwa sababu pale mwanzo Pikipiki na bajaj zilikuwa zinatumia namba zenye mfumo huo wa magari, lakini sasa wamebadili, bajaj na pikipiki Zinatumia mfumo wa namba nyingine, na ukiiangalia Bajaj na pikipiki zilikuwa zinaingia kwa wingi, hivyo kukimbiza sana namba, ndio maana unaona namba D imekaa more than 3 yrs now toka 2014