Mbona Mwarabu amemdharau sana mwanamke kiasi hiki? Tatizo ni nini?

Huko ndio kwenyewe kwa kumkandamiza, mpaka katika jina, hana haki ya kuitwa ubini wa wake, anaitwa kwa ubini wa mume wake.

(1) Kama alikuwa anaitwa Marry Joseph Kigu, na Mumewe anaitwa Clement Mapunda, akiolewa tu anakuwa ni Marry Clement Mapunda.

Utambulisho wake wote, unapotea. Lakini katika uislamu anabaki na ubini ule ule wa baba yake, akiitwa Asha Haji Mtopea, atabakia hivyo hivyo, Asha Haji Mtopea.

(2) Katika uislamu, mali anayomiliki mwanamke ni yake mwenyewe, ikiwa jina la nyumba atakayoijenga, au amenunua nyumba, shamba itabaki jina lake la Asha Haji Mtopea, hakuna jina la mume, Wala jina la ukoo wa mume, unaoingia Katika hati ya nyumba, kadi ya gari, cheti chake Cha elimu ya juu, kama ataongeza elimu, kwenye cheti chake Cha ndoa, kwenye passport, na utambulisho mwingine wowote ule.

(3) Katika uislamu, mwanamke hata awe na kazi, awe tajiri, awe na uwezo wa kiuchumi, hawajibiki kutunza familia, anayewajibika ni mwanamme. Mwanamme anawajibika, makazi, chakula, kusomesha watoto, kulipia matibabu nk.

(4) Katika uislamu,mtoto amepewa amri ya kumuheshimu, Mama yake, mara tatu zaidi ya baba yake. Na mtoto, pepo yake iko chini ya unyao wa mama ake.

(5) Katika uislamu, mtoto akizaliwa nje ya ndoa, kwa baba upande wa baba hauna haki(sio halali), lakini kwa mama ni halali, mtoto akiwa mkubwa, na akiacha mali, Mama ndio anarithi, baba hapati kitu, kwa mtoto wa nje ya ndoa .Nk
Uislam mzuri sana umejali mnoo haki za wanawake
 
quran imeandika wanawake wakileta ujinga wapigwe
Toa andiko linalosema mwanamke apigwe kwa keleta ujinga. Hakuna dini inayo heshimu mwanamke kama uislam.
Katika Uislamu, msimamo wa mama unatukuzwa zaidi, hata kabla ya baba. Hii inathibitishwa katika moja ya hadithi ya Nabii ambayo inafuata: Mtume aliulizwa: "Ewe Mjumbe wa Mungu, kati ya wanadamu wote ni nani nina wajibu wa kumtukuza?" Mtume akajibu, "Mama yako." "Na kisha nani mwingine?" tena mwanaume yule aliuliza. "Mama yako," tena Mtume akajibu. "Na kisha nani mwingine?" mtume anaulizwa kwa mara ya tatu. "Mama yako, bado alijibu Nabii. "Na kisha nani mwingine?" aliuliza mtu huyo kwa mara ya nne. "Baba yako," mwishowe Mtume alisema.
 
Asante kwa elimu ,wengine hawachelewi kuponda dini wakati dini yenyewe hawajui. Hakuna dini iliyolinda haki za wanawake zaidi ya dini ya uislamu.
Huko ndio kwenyewe kwa kumkandamiza, mpaka katika jina, hana haki ya kuitwa ubini wa wake, anaitwa kwa ubini wa mume wake.

(1) Kama alikuwa anaitwa Marry Joseph Kigu, na Mumewe anaitwa Clement Mapunda, akiolewa tu anakuwa ni Marry Clement Mapunda.

Utambulisho wake wote, unapotea. Lakini katika uislamu anabaki na ubini ule ule wa baba yake, akiitwa Asha Haji Mtopea, atabakia hivyo hivyo, Asha Haji Mtopea.

(2) Katika uislamu, mali anayomiliki mwanamke ni yake mwenyewe, ikiwa jina la nyumba atakayoijenga, au amenunua nyumba, shamba itabaki jina lake la Asha Haji Mtopea, hakuna jina la mume, Wala jina la ukoo wa mume, unaoingia Katika hati ya nyumba, kadi ya gari, cheti chake Cha elimu ya juu, kama ataongeza elimu, kwenye cheti chake Cha ndoa, kwenye passport, na utambulisho mwingine wowote ule.

(3) Katika uislamu, mwanamke hata awe na kazi, awe tajiri, awe na uwezo wa kiuchumi, hawajibiki kutunza familia, anayewajibika ni mwanamme. Mwanamme anawajibika, makazi, chakula, kusomesha watoto, kulipia matibabu nk.

(4) Katika uislamu,mtoto amepewa amri ya kumuheshimu, Mama yake, mara tatu zaidi ya baba yake. Na mtoto, pepo yake iko chini ya unyao wa mama ake.

(5) Katika uislamu, mtoto akizaliwa nje ya ndoa, kwa baba upande wa baba hauna haki(sio halali), lakini kwa mama ni halali, mtoto akiwa mkubwa, na akiacha mali, Mama ndio anarithi, baba hapati kitu, kwa mtoto wa nje ya ndoa .Nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom