johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Najiuliza tu, mbona mwenyekiti wa TLP Augustine Lyatonga Mrema alianza kumuunga mkono mstaafu Kikwete na sasa anamuunga mkono Rais Magufuli lakini akiwa huko huko TLP. Sasa iweje hawa wanasiasa vijana tena wengine wageni tu siasani wasijifunze kwa Mrema na badala yake wanalitia taifa hasara kwa kurudia uchaguzi?!!! Ni wakati sasa wa CCM kuwa macho isijekuwa hawa jamaa wana ajenda ya siri. Ni hayo tu!