bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,549
hawa wanawake wakiristo waliokoka wanaovaa hijab vipi? Mashariki ya kati?
wewe kwenye avatar yako umevaa nini....? ndio mfano huo
hawa wanawake wakiristo waliokoka wanaovaa hijab vipi? Mashariki ya kati?
wewe kwenye avatar yako umevaa nini....? Ndio mfano huo
yaani unakusudia mama tereza alikuwa mmashiriki ya kati? Mbona amevaa hijab? Lkn kwanini wakiristo waliopata daraja la utukufu hamna aliekuwa kichwa wazi? Kwanini au wamepotoka?
mwenzako kafungwa maisha jana....... Brainwashed like you