mbona mlimani Tv inawezekana akina dada wetu kuvaa hijab?

muhogomchungu

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
375
3
Mlimani TV inayomilikiwa na wasomi utakuona akina dada wetu ambao ni watangazaji wakiruhusiwa kuvaa hijab na huku wakiwa Live wanatangaza. hii nimeona ktk taarifa ya habari au hata katika habari nyengine
lkn baadhi ya tv hawaruhusiwi. na hii kutoruhsu uvaaji wa vazi la lazima kwa akina dada wetu wa kiiislam kunaifanya baadhi ya akdada wenye imani ya kweli na dini yao wanashindwa kujiunga na tv hizo huku wakiwa na sifa zao za utangazaji . kwa mfano niliwahi kusoma ktk moja ya gazeti kwamba Sakina dotto alikata kujiunga na Itv baada ya kukuataliwa kuvaa hijab akiwa Online.na wapo wengi tu ambao kwao hijab ni lazima lakina wanasifa zote za kutangaza.
Huku tukiwa tunapigania haki za wanawake Tanzania, yaani wawe huru bila ya kuvunja sheria, vyombo vya habri vikiwa mbele kutetea uhuru wa wanawake,yaani uhuru wa wanawake na kutowanyanyaswa .
Mbona mlimani tv inawezekana na huku Itv, star tv,Tbc haiwezekani? au mlimani tv ni ya waislam?
 
Sioni udhia katika kutumia vazi la hijaab, kwani ni vazi lenye kutunza utu wa mwanamke.
 
PELEKA HII HOJA MAHAKMA YA KADHI!!!:car:

Mh! Inahusu... Kwani ni lazima kujibu jamani? Kama mtu amepost hoja yake unaona huwezi kuchangia si utambae tu kimya kimya wangu...! Haipendezi bana, tukue
 
Mh! Inahusu... Kwani ni lazima kujibu jamani? Kama mtu amepost hoja yake unaona huwezi kuchangia si utambae tu kimya kimya wangu...! Haipendezi bana, tukue

katoa wazo lake tena lawezekana ni la kiutu uzima kabisa
 
inawezekana kwa akina dada kuvaa hijab na kuonekana kwenye tv wakitangaza, wasiwasi wangu ni huu uvaaji wa juba, je nao itakuwaje? nao waruhusiwe?
 
Penye ukweli daima watu hutia jazba!wapeni watu uhuru wao!!hakuna wapumbavu siku hizi!
 
Mlimani TV inayomilikiwa na wasomi utakuona akina dada wetu ambao ni watangazaji wakiruhusiwa kuvaa hijab na huku wakiwa Live wanatangaza. hii nimeona ktk taarifa ya habari au hata katika habari nyengine
lkn baadhi ya tv hawaruhusiwi. na hii kutoruhsu uvaaji wa vazi la lazima kwa akina dada wetu wa kiiislam kunaifanya baadhi ya akdada wenye imani ya kweli na dini yao wanashindwa kujiunga na tv hizo huku wakiwa na sifa zao za utangazaji . kwa mfano niliwahi kusoma ktk moja ya gazeti kwamba Sakina dotto alikata kujiunga na Itv baada ya kukuataliwa kuvaa hijab akiwa Online.na wapo wengi tu ambao kwao hijab ni lazima lakina wanasifa zote za kutangaza.
Huku tukiwa tunapigania haki za wanawake Tanzania, yaani wawe huru bila ya kuvunja sheria, vyombo vya habri vikiwa mbele kutetea uhuru wa wanawake,yaani uhuru wa wanawake na kutowanyanyaswa .
Mbona mlimani tv inawezekana na huku Itv, star tv,Tbc haiwezekani? au mlimani tv ni ya waislam?
Nadhani jibu la swali lako unalo.

 
Kùvaa hijabu hakupunguzi chochote kwa mwanamke. Ni bora TV ZOTE WAIGE MFANO HUO[mwanamke ni stara]
 
Msilazimishe mambo wewe nenda panapokufaa!!! Kama Sakina aliktaa tena kimya kimya hiyo ndio busara :suspicious:!!
 
Vazila hijabu linapendeza, wadau wa jf acheni ushabiki. Hili ni vazi kongwe toka enzi za mitume. Ndo maana hata masister wa kikatoliki huvaa vazi hilo safi na kuwaacha waamini wao wakivaa vimini, vijisuruali na vitop ambazo ni mila za kizungu. VAZI LA Hijabu linapendeza saana kinadada/mama livaeni mpendeze
 
Vazila hijabu linapendeza, wadau wa jf acheni ushabiki. Hili ni vazi kongwe toka enzi za mitume. Ndo maana hata masister wa kikatoliki huvaa vazi hilo safi na kuwaacha waamini wao wakivaa vimini, vijisuruali na vitop ambazo ni mila za kizungu. VAZI LA Hijabu linapendeza saana kinadada/mama livaeni mpendeze


Nani alikuambia linapendeza, hebu fikiria na joto lote la Dar mtu uko tu umejitwika manguo kibao, Yaani ni majasho kwa kwenda mbele, Hebu na nyie wanaume mjaribu kuvaa hizo hijabu muone wanawake wanavyopata shida! Asikuambie mtu hijab kwa dar ni mateso makubwa, Labda kwa watu wanaoishi ulaya mf, Urusi, wakati wa winter hata mie naweza kuvaa na kujifunika mwili mzima nikabakisha macho tu.
 
Mlimani TV inayomilikiwa na wasomi utakuona akina dada wetu ambao ni watangazaji wakiruhusiwa kuvaa hijab na huku wakiwa Live wanatangaza. hii nimeona ktk taarifa ya habari au hata katika habari nyengine
lkn baadhi ya tv hawaruhusiwi. na hii kutoruhsu uvaaji wa vazi la lazima kwa akina dada wetu wa kiiislam kunaifanya baadhi ya akdada wenye imani ya kweli na dini yao wanashindwa kujiunga na tv hizo huku wakiwa na sifa zao za utangazaji . kwa mfano niliwahi kusoma ktk moja ya gazeti kwamba Sakina dotto alikata kujiunga na Itv baada ya kukuataliwa kuvaa hijab akiwa Online.na wapo wengi tu ambao kwao hijab ni lazima lakina wanasifa zote za kutangaza.
Huku tukiwa tunapigania haki za wanawake Tanzania, yaani wawe huru bila ya kuvunja sheria, vyombo vya habri vikiwa mbele kutetea uhuru wa wanawake,yaani uhuru wa wanawake na kutowanyanyaswa .
Mbona mlimani tv inawezekana na huku Itv, star tv,Tbc haiwezekani? au mlimani tv ni ya waislam?

Kila kazi ina masharti yake, ukiikubali kazi maana yake unayakubali masharti yake.
Unamtumikia kafiri ili upate mradi wako.
ndiyo maana kuna waislamu kibao wanafanya kazi Tanzania Breweries na Konyagi japo pombe kwao ni haramu.
 
inawezekana kwa akina dada kuvaa hijab na kuonekana kwenye tv wakitangaza, wasiwasi wangu ni huu uvaaji wa juba, je nao itakuwaje? nao waruhusiwe?

Nao waruhusiwe tu, manake watu wanasema mwanamke stara, wakati stara ni mtazamo tu wa mtu. Nani alikuambia ukivaa nguo yako vizuri bila shungi hauwi na stara? Achane kukandamiza wanawake eti kisingizio wanapendeza, mbona nyie wanaume hamvai?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom