Mbona michel tu huyu nae mnamjua? Cameroon first lady!

Mbiliabell si mbiliabell, tshalla muana si tshalla muana yani hajakaa ki kifirts lady!! Kakaa ki sanii zaidi!! Kama mkongo!!!

Mhh utulivu kama first lady ni F. Yaani utadhani anaserebuka mipasho au matarimbo doro (mduara) vile!
 
kwenye casual events kama kwenye bembea jamaica alivaa nguo za kitenge ambazo ni official wears.. Angejiweka ki bembea zaidi.
Uzuri wa sura anao..ila pamba akajifunze kwa michelle obama


Hapana, alikuwa sahihi kabisa kutokana na mila zetu za kiafrika. Kumbuka Michelle ni Mmarekani, na amelelewa na kukulia kwa mila za Kimarekani. Tusipende kuiga kila kitu. Halafu Buji unampenda Michelle kwa kuwa anavaa vipensi na kuonyesha mapaja? :)
 
hapana, alikuwa sahihi kabisa kutokana na mila zetu za kiafrika. Kumbuka michelle ni mmarekani, na amelelewa na kukulia kwa mila za kimarekani. Tusipende kuiga kila kitu. Halafu buji unampenda michelle kwa kuwa anavaa vipensi na kuonyesha mapaja? :)

hahaha hahah
mama yetu ataenda kuzindua michezo akiwa amevaa bukta ya kitenge na jezi ya kitenge...
Itapendeza sana.
Mungu ibariki afrika mungu mbariki mwanamke wa kwanza.
 
mwanamke wa kwanza unamjua?rekebisha kauli uncle thelengeti mwanamke wa kwanza ni hawa
hahaha hahah
mama yetu ataenda kuzindua michezo akiwa amevaa bukta ya kitenge na jezi ya kitenge...
Itapendeza sana.
Mungu ibariki afrika mungu mbariki mwanamke wa kwanza.
 
kajichubuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpaka anaboa!

huyo fistllady wa Cameroon ana mixture ya kifaransa na hiyo ni rangi yake halisi(natural) ya ngozi hajajichubua kama wanawake wakibongo....mpe heshima yake na ni mzuri hilo kubaliana nalo maana ni mzuri kweli.....
 
huyo fistllady wa Cameroon ana mixture ya kifaransa na hiyo ni rangi yake halisi(natural) ya ngozi hajajichubua kama wanawake wakibongo....mpe heshima yake na ni mzuri hilo kubaliana nalo maana ni mzuri kweli.....

Lakini mbona kazaliwa mwana 1971, so she is only 39, but she looks like she is 55!
 
Lakini mbona kazaliwa mwana 1971, so she is only 39, but she looks like she is 55!
Kwa hilo madaktari wataweza lifafanua vizuri...maana pana watu wengi wana-age ndogo but ukiwaangalia kwa face zao zimejikunja as if wako older than than their age..
 
Kwa taarifa, jamaa zangu wa Cameroon wanasema awali alikuwa girlfriend wa mtoto wa Rais. Aidha, pia alikuwa model. Mzee alivyomng'aza katika madisco yaliyokuwa yakipigwa Ikulu akaamua kumpindua mwanaye na kumshauri atafute mwingine kwani yeye (Mtoto) bado kijana hivyo ana mtaji mwingi. ;)

Hee ama akina dada tuna balaa! yaani huyo dada akawa anapokezanwa na yeye akahama kweli! Hizi 'materials' zitatumaliza!
 
Hee ama akina dada tuna balaa! yaani huyo dada akawa anapokezanwa na yeye akahama kweli! Hizi 'materials' zitatumaliza!

Si ndio fasheni ya kina dada wengi wa siku hizi! Wanasema kizuri kula na nduguyo, kibaya mtupie mbwa! :)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom