prospa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 554
- 156
Baada ya story za hapa na pale na
kufahamiana kiaina...
Jamaa; Naomba basi namba yako ya simu..
Mdada; ya kazi gani?
Jamaa; nataka niipambe kwenye
phonebook yangu
Mdada; sina simu..
Jamaa; mbona mi sijakuomba simu? Mi nahitaji namba hiyo simu sina shida nayo...
kufahamiana kiaina...
Jamaa; Naomba basi namba yako ya simu..
Mdada; ya kazi gani?
Jamaa; nataka niipambe kwenye
phonebook yangu
Mdada; sina simu..
Jamaa; mbona mi sijakuomba simu? Mi nahitaji namba hiyo simu sina shida nayo...