Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Manji kama ilivyo kwa Mbowe na Sumaye ni mwanasiasa,ni diwani wa kata ya Mbagala kupitia CCM. Ameingia matatani na PSPF kuhusiana na mkataba wa pango ambapo mahakama kuu imemkuta na hatia ya kukaa bila kulipa pango kama ilivyo kwa Mbowe. Mbunge wa Mbarali pia alikutwa na ardhi kubwa ambapo zaidi ya ekari 1800 ilipokwa na kurudishwa kwa wananchi,sasa Sumaye ekari 33 mjini, manispaa ya kinondoni,jiji la Dar Es Salaam bila kuliendeleza imekuwa nongwa. Je ndani ya jiji ekari 33 kuziacha pori wakati watu hawana makazi ni sawa?
Mbona wengine walivyopokwa tumeshangilia? Ila Mbowe na Sumaye imekuwa nongwa?
Mbona wengine walivyopokwa tumeshangilia? Ila Mbowe na Sumaye imekuwa nongwa?