Nakuunga mkono BT,hapa ukienda bugando utawakuta wengi tu wamejazana lakin saiv wanachonga.Wakristo wanapata kwasbb wana sehem za kuwekeza na miradi iko endelevu,sasa hawa ndugu zetu wanalalamika tu na wakat hata wakipewa hawana ujuzi wa kuendeleza,angalia mirad yao ming imecollapse kwasbb ya maneno hayahaya,So kanisa limsaidie kikwete kwa mgogoro wa Drs il iweje,kwan waislam wamemmsaidiaje?