Mbona Magufuli alipokuwa akikosoa ya Kikwete mlikaa kimya? Muacheni Rais Samia

Kama kuchoma vifaranga ni dhambi mkuu vipi kuchinja kuku au kuchinja mbuzi?
Siko upande wowote ila kwenye swalala vifaranga ningeomba nitowe link hizi na sheria ili ziwasaidie hata wengine huko mbeleni


 

Attachments

  • IMPORT AND EXPORT OF ANIMAL FEED RESOURCES (1).pdf
    622.5 KB · Views: 4
  • en1516634461-ZOOSANITARY_INSPECTORATE_EXPORT_AND_IMPORT_PROTOCOLS_.pdf
    60.9 KB · Views: 3
Siko upande wowote ila kwenye swalala vifaranga ningeomba nitowe link hizi na sheria ili ziwasaidie hata wengine huko mbeleni



Baada ya hizo vifungu naomba uliza ni dhambi au sio dhambi?
 
Walikuwa wanachoma moto wanyama wakiwa wamekufa

Kwa iyo ukiwachoma wakiwa hawajafa ni dhambi, ni dhambi katika amri kuu za Mungu inaingia wapi?

Je kipindi Unashuka moto wa sodoma na gomola walichomwa hadi wanyama wasio na hatia. Je halikutambulika ilo kama dhambi?
 
Halafu hii wala sio kwa vyama vya upinzani kama mnavyoweza kufikiri kwamba wao ndio wanampinga Rais Samia, hao watu wako CCM zaidi.

Ni hivi, leo Rais Samia kugusia wale vifaranga wa kutoka Kenya ambao enzi ya Magufuli walichomwa moto. Akasema "DHAMBI TUPU". Naona povu la kutosha hasa kwa watu wanaojiiita #TeamMagufuli.

Hii sio mara ya kwanza wao kutokwa povu. Wana povu la bandari ya Bagamoyo, wana povu la mabinti kurudi shule, walitokwa povu Mange Kimambi kusalamiana na Rais, wana povu Sabaya kufungwa, Kalemani kuondolewa na mipovu mingine mingi.

Hoja yao ni Rais kukosoa mfumo Serikali iliyopita.

WANAFIKI : Walikuwa wanashangilia hapa kila siku Magufuli akisema "Hii nchi imechezewa sana.... Tumepigwa..." na kauli nyingine nyingi za kutaka kuonesha Kikwete, Mkapa hata Mwinyi hawakufanya lolote. Mlishangilia sana hamkujali kuhusu Kikwete.

Magufuli alikuwa anaandika kitabu chake, he had his own principles ambazo hazikuwa sawa na Kikwete. It was right pengine to go against them.

Samia yes alikuwa Makamu wa Rais kwa Magufuli, but we all know how this country works. Rais ndo anaamua kila kitu, Makamu is just there jamani.

KAMA SAMIA KAAMUA KUYASEMA HADHARANI AMBAYO HAKUKUBALIANA NAYO ENZI YA MAGUFULI AACHWE. Tuambizane ukweli. Mbona akimsifu hamuongei? Hizo ni Double standards.

LET SAMIA BE SAMIA. KUCHOMA VIFARANGA NI DHAMBI
Kweli Hawa jamaa Wana dabostandadi sijawahi kuona.viva
 
Simshangai Samia kufanya haya, Watanzania tunajulikana kwa unafiki na kujipendekeza, ni wachumia tumbo balaa licha ya kutokukubaliana na yale aliyoyaamini Magufuli hakuuachia umakamu alikomaa tu.Tusiwashangae akina Mkenda, Mwambe nk wale hawawezi kujiuzulu ng'o, ugali hauwezi kuachwa hivi hivi aisee.
 
Bado kidogo mtasema na kutajana tu roho ya mtu inawatesa sana, Magufuli ameshalala usingizi lkn bado mnateseka na kuumia tu.

Kuna watu sijawahi kuwaona hata wakitabasamu tu, chuki tupu, hamna Amani mioyoni mwenu.

Mimi nasubiri vita na timbwili litakaloibuka mtakapo salitiana na inakuja.

R.I.P. Magu
Mi pia nasubiri kwa hamu sana. Acha we peane ma hope

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Halafu hii wala sio kwa vyama vya upinzani kama mnavyoweza kufikiri kwamba wao ndio wanampinga Rais Samia, hao watu wako CCM zaidi.

Ni hivi, leo Rais Samia kugusia wale vifaranga wa kutoka Kenya ambao enzi ya Magufuli walichomwa moto. Akasema "DHAMBI TUPU". Naona povu la kutosha hasa kwa watu wanaojiiita #TeamMagufuli.

Hii sio mara ya kwanza wao kutokwa povu. Wana povu la bandari ya Bagamoyo, wana povu la mabinti kurudi shule, walitokwa povu Mange Kimambi kusalamiana na Rais, wana povu Sabaya kufungwa, Kalemani kuondolewa na mipovu mingine mingi.

Hoja yao ni Rais kukosoa mfumo Serikali iliyopita.

WANAFIKI : Walikuwa wanashangilia hapa kila siku Magufuli akisema "Hii nchi imechezewa sana.... Tumepigwa..." na kauli nyingine nyingi za kutaka kuonesha Kikwete, Mkapa hata Mwinyi hawakufanya lolote. Mlishangilia sana hamkujali kuhusu Kikwete.

Magufuli alikuwa anaandika kitabu chake, he had his own principles ambazo hazikuwa sawa na Kikwete. It was right pengine to go against them.

Samia yes alikuwa Makamu wa Rais kwa Magufuli, but we all know how this country works. Rais ndo anaamua kila kitu, Makamu is just there jamani.

KAMA SAMIA KAAMUA KUYASEMA HADHARANI AMBAYO HAKUKUBALIANA NAYO ENZI YA MAGUFULI AACHWE. Tuambizane ukweli. Mbona akimsifu hamuongei? Hizo ni Double standards.

LET SAMIA BE SAMIA. KUCHOMA VIFARANGA NI DHAMBI
Tena wamkome na wamtue,acheni Mama afanye Kazi.
 
Kwa iyo ukiwachoma wakiwa hawajafa ni dhambi, ni dhambi katika amri kuu za Mungu inaingia wapi?

Je kipindi Unashuka moto wa sodoma na gomola walichomwa hadi wanyama wasio na hatia. Je halikutambulika ilo kama dhambi?
Wewe sijui unawazaje. Kwani wale vifaranga walikuwa wanachomwa kwa sababu ya maasi ya mji. Ile si ilikuwa amri ya mwenyezi Mungu. Sijui mtiririko wako wa mantiki unaupata wapi lakini ni wazi una walakini. Na amri ya Mungu imeshawahi kutokea sio mara moja au mbili katika miji yenye kumkufuru Mungu. Unataka kusema Mungu ndo mwenye dhambi kwa kuchoma hiyo miji?
 
Halafu hii wala sio kwa vyama vya upinzani kama mnavyoweza kufikiri kwamba wao ndio wanampinga Rais Samia, hao watu wako CCM zaidi.

Ni hivi, leo Rais Samia kugusia wale vifaranga wa kutoka Kenya ambao enzi ya Magufuli walichomwa moto. Akasema "DHAMBI TUPU". Naona povu la kutosha hasa kwa watu wanaojiiita #TeamMagufuli.

Hii sio mara ya kwanza wao kutokwa povu. Wana povu la bandari ya Bagamoyo, wana povu la mabinti kurudi shule, walitokwa povu Mange Kimambi kusalamiana na Rais, wana povu Sabaya kufungwa, Kalemani kuondolewa na mipovu mingine mingi.

Hoja yao ni Rais kukosoa mfumo Serikali iliyopita.

WANAFIKI : Walikuwa wanashangilia hapa kila siku Magufuli akisema "Hii nchi imechezewa sana.... Tumepigwa..." na kauli nyingine nyingi za kutaka kuonesha Kikwete, Mkapa hata Mwinyi hawakufanya lolote. Mlishangilia sana hamkujali kuhusu Kikwete.

Magufuli alikuwa anaandika kitabu chake, he had his own principles ambazo hazikuwa sawa na Kikwete. It was right pengine to go against them.

Samia yes alikuwa Makamu wa Rais kwa Magufuli, but we all know how this country works. Rais ndo anaamua kila kitu, Makamu is just there jamani.

KAMA SAMIA KAAMUA KUYASEMA HADHARANI AMBAYO HAKUKUBALIANA NAYO ENZI YA MAGUFULI AACHWE. Tuambizane ukweli. Mbona akimsifu hamuongei? Hizo ni Double standards.

LET SAMIA BE SAMIA. KUCHOMA VIFARANGA NI DHAMBI
Magufuli hakua na hakuwahi kuwa makamu wa rais wa Kikwete popote pale.
Ni hayo tu.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Na ushangiliaji wao ulikuwa mbaya sana. Walikuwa wanakera kama chenga za Morrison! Ila Mungu fundi sana! Yaani alimwondoa jamaa bila hata kuonesha kazuri hata kamoja! Five years no salary increment, hakuwahi kuongea hata alivyowapoteza akina Ben Saa Nane halafu na wizi Chaguzi, 2019 na 2020! ROho mbaya sana huyo JPM!

Kweli Mwenyezi Mungu fundi. Maana hakuna lililo na mwanzo likakosa mwisho. Hata yaliyopo leo sio kwamba yatadumu milele
 
Simshangai Samia kufanya haya, Watanzania tunajulikana kwa unafiki na kujipendekeza, ni wachumia tumbo balaa licha ya kutokukubaliana na yale aliyoyaamini Magufuli hakuuachia umakamu alikomaa tu.Tusiwashangae akina Mkenda, Mwambe nk wale hawawezi kujiuzulu ng'o, ugali hauwezi kuachwa hivi hivi aisee.

Kabisa Kabisa Mkuu.! Hata Filipo yupo tu kama picha ya kuchora ila hawezi kujiuzulu kamwe.
 
Na ushangiliaji wao ulikuwa mbaya sana. Walikuwa wanakera kama chenga za Morrison! Ila Mungu fundi sana! Yaani alimwondoa jamaa bila hata kuonesha kazuri hata kamoja!

Five years no salary increment, hakuwahi kuongea hata alivyowapoteza akina Ben Saa Nane halafu na wizi Chaguzi, 2019 na 2020! ROho mbaya sana huyo JPM!
Kwa kuwa wewe hutakufa. Na kwa vile wewe unaroho nzuri. Tusiwe na roho ngumu hivi ya kuhukumu wafu.
 
Back
Top Bottom