Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Halafu hii wala sio kwa vyama vya upinzani kama mnavyoweza kufikiri kwamba wao ndio wanampinga Rais Samia, hao watu wako CCM zaidi.
Ni hivi, leo Rais Samia kugusia wale vifaranga wa kutoka Kenya ambao enzi ya Magufuli walichomwa moto. Akasema "DHAMBI TUPU". Naona povu la kutosha hasa kwa watu wanaojiiita #TeamMagufuli.
Hii sio mara ya kwanza wao kutokwa povu. Wana povu la bandari ya Bagamoyo, wana povu la mabinti kurudi shule, walitokwa povu Mange Kimambi kusalamiana na Rais, wana povu Sabaya kufungwa, Kalemani kuondolewa na mipovu mingine mingi.
Hoja yao ni Rais kukosoa mfumo Serikali iliyopita.
WANAFIKI : Walikuwa wanashangilia hapa kila siku Magufuli akisema "Hii nchi imechezewa sana.... Tumepigwa..." na kauli nyingine nyingi za kutaka kuonesha Kikwete, Mkapa hata Mwinyi hawakufanya lolote. Mlishangilia sana hamkujali kuhusu Kikwete.
Magufuli alikuwa anaandika kitabu chake, he had his own principles ambazo hazikuwa sawa na Kikwete. It was right pengine to go against them.
Samia yes alikuwa Makamu wa Rais kwa Magufuli, but we all know how this country works. Rais ndo anaamua kila kitu, Makamu is just there jamani.
KAMA SAMIA KAAMUA KUYASEMA HADHARANI AMBAYO HAKUKUBALIANA NAYO ENZI YA MAGUFULI AACHWE. Tuambizane ukweli. Mbona akimsifu hamuongei? Hizo ni Double standards.
LET SAMIA BE SAMIA. KUCHOMA VIFARANGA NI DHAMBI
Ni hivi, leo Rais Samia kugusia wale vifaranga wa kutoka Kenya ambao enzi ya Magufuli walichomwa moto. Akasema "DHAMBI TUPU". Naona povu la kutosha hasa kwa watu wanaojiiita #TeamMagufuli.
Hii sio mara ya kwanza wao kutokwa povu. Wana povu la bandari ya Bagamoyo, wana povu la mabinti kurudi shule, walitokwa povu Mange Kimambi kusalamiana na Rais, wana povu Sabaya kufungwa, Kalemani kuondolewa na mipovu mingine mingi.
Hoja yao ni Rais kukosoa mfumo Serikali iliyopita.
WANAFIKI : Walikuwa wanashangilia hapa kila siku Magufuli akisema "Hii nchi imechezewa sana.... Tumepigwa..." na kauli nyingine nyingi za kutaka kuonesha Kikwete, Mkapa hata Mwinyi hawakufanya lolote. Mlishangilia sana hamkujali kuhusu Kikwete.
Magufuli alikuwa anaandika kitabu chake, he had his own principles ambazo hazikuwa sawa na Kikwete. It was right pengine to go against them.
Samia yes alikuwa Makamu wa Rais kwa Magufuli, but we all know how this country works. Rais ndo anaamua kila kitu, Makamu is just there jamani.
KAMA SAMIA KAAMUA KUYASEMA HADHARANI AMBAYO HAKUKUBALIANA NAYO ENZI YA MAGUFULI AACHWE. Tuambizane ukweli. Mbona akimsifu hamuongei? Hizo ni Double standards.
LET SAMIA BE SAMIA. KUCHOMA VIFARANGA NI DHAMBI