technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Hapa nimelala nautafuta usingizi kila nikijigeuza nasikia King'ora Cha gari ya wagonjwa inapita duh.
Kila Muda mchana unajua inakuwa ngumu kusikia sn unachukulia poa ila usiku toka nimelala ni gari la 3 nasikia linapita nje.
Hii Corona itasomba watu aisee ni hatari hali ime-change ghafula hata usingizi umeisha.
Kila Muda mchana unajua inakuwa ngumu kusikia sn unachukulia poa ila usiku toka nimelala ni gari la 3 nasikia linapita nje.
Hii Corona itasomba watu aisee ni hatari hali ime-change ghafula hata usingizi umeisha.