Si unajua sasa hivi makundi ya khgaidi yanatafuta kiki kupitia mikusanyiko ya waislamu!!Nimeshuhudia mikutano kadhaa na yote kupitia Runinga inayohusisha Viongozi wakuu wa nchi mbalimbali ikiwemo na ya Tanzania ila nimeshangaa na kila mara nikawa najiuliza leo wakati Mheshimiwa Mukulu yupo Karimjee kuungana na Waislamu Tanzania kusheherekea Sikukuu ya Eid Walinzi wake walikuwa makini kupita maelezo kiasi kwamba hata inzi alikuwa hawezi kuruka kati yao kwa umakini waliokuwa nao.
Je nini imepelekea hii hali leo? Najua humu kuna Wataalam wa haya mambo hivyo basi si vibaya mkatoa ujuzi wenu kwetu sisi tusiojua ili nasi tuweze kuelimika na vile vile inaweza ikawa ni chachu kwa wengine wenye kutamani kufanya hiyo Kazi na wao waweze kuhamasika.
Hawa jamaa huwa napenda sana kuwaona na hata kuwapa pongezi kwa umakini na uhodari wao wa ulinzi ila tatizo kubwa nipo nao mbali wao wakiwa huko Tanzania na Mimi nikiwa huku nchini Rwanda.
Natamani sana hata sisi huku kwetu Walinzi wa Rais wetu Paul Kagame na wao wawaige Walinzi hawa wa Rais wa Tanzania kwani kiukweli wana ueledi wa hali ya juu mno na wanajua wanachokifanya.
Tanzania mmebarikiwa kila kitu sijui kwanini na kiukweli tunawaonea wivu hadi nasi tunatamani sasa tuitwe tu Watanzania.
Halafu mkuu mjinga tu huyo hana lolote, na kuthibitisha ujuha wake anajifanya mnyarwanda but we know what he's trying to say. Majnun weyeUnalo ulitaftalo wew, watakuja wenyewe wakigundua unwachokoza
Hana unyarwanda wowote, anatumia id mbili namfaham huyuHalafu mkuu mjinga tu huyo hana lolote, na kuthibitisha ujuha wake anajifanya mnyarwanda but we know what he's trying to say. Majnun weye
taratibu unahatarisha usalama wa nchiNimeshuhudia mikutano kadhaa na yote kupitia Runinga inayohusisha Viongozi wakuu wa nchi mbalimbali ikiwemo na ya Tanzania ila nimeshangaa na kila mara nikawa najiuliza leo wakati Mheshimiwa Mukulu yupo Karimjee kuungana na Waislamu Tanzania kusheherekea Sikukuu ya Eid Walinzi wake walikuwa makini kupita maelezo kiasi kwamba hata inzi alikuwa hawezi kuruka kati yao kwa umakini waliokuwa nao.
Je nini imepelekea hii hali leo? Najua humu kuna Wataalam wa haya mambo hivyo basi si vibaya mkatoa ujuzi wenu kwetu sisi tusiojua ili nasi tuweze kuelimika na vile vile inaweza ikawa ni chachu kwa wengine wenye kutamani kufanya hiyo Kazi na wao waweze kuhamasika.
Hawa jamaa huwa napenda sana kuwaona na hata kuwapa pongezi kwa umakini na uhodari wao wa ulinzi ila tatizo kubwa nipo nao mbali wao wakiwa huko Tanzania na Mimi nikiwa huku nchini Rwanda.
Natamani sana hata sisi huku kwetu Walinzi wa Rais wetu Paul Kagame na wao wawaige Walinzi hawa wa Rais wa Tanzania kwani kiukweli wana ueledi wa hali ya juu mno na wanajua wanachokifanya.
Tanzania mmebarikiwa kila kitu sijui kwanini na kiukweli tunawaonea wivu hadi nasi tunatamani sasa tuitwe tu Watanzania.
hivi wewe ni mnyarwanda au mtz maana naona muhimbili unaijua vizuriNahisi Wewe ni Mtu mzima tena pengine hata kumfikia Mugabe wa Zimbabwe ila akili au upeo wako ni mdogo kama Mtoto aliyezaliwa leo Muhimbili. Hivi kuna dhambi gani au nimefanya kosa lipi la kimantiki katika UZI wangu huu niliouanzisha? Mbona Wananchi wa nchi zingine tena zenye TAASISI IMARA ZA KIJASUSI NA ULINZI wako huru katika kujadili hizo taasisi na Wahusika huwajibu bila hiyana na Watu wanaelimika? au unadhani labda sijui NINACHOKIFANYA au sijui MIPAKA ya hao Watu? Naona mpo wengi mno Wewe na WAPUMBAVU wenzio mliokurupuka na kudhani nina AGENDA ovu dhidi ya nilichoulizia. Jifunzeni kufanya tafiti thabiti ndipo muwe mnakuja " kunipovukia " humu. Hivi kuna taasisi imara kama MOSSAD au CIA au KGB duniani? Angalieni katika vyanzo mbalimbali kama Watu huwa hawawajadili. Hao wa Tanzania wamekuwa ni MALAIKA? Najisikia aibu mno KUKUDHARAU ila kwa huu " upuuzi " wako nimeshakudharau.
anakuwa kama wale wanaoitwa wa dar.
Tatizo lako dogo huwa unajifanya unajua vitu kumbe mbumbumbu wa mwisho halafu mbaya sana wewe ni mwanaume ila vitu unavyofanyaga ni kama ex wangu yaani unafanya vitu vya kike mbumbumbu wewe umeshindwa kujua kuwa hakuna kitu kinachoitwa KGB duniani kwa mwaka wa ishirini na tano sasa kama sikosei yaani ni sawa sawa na mtu aseme hakuna chama imara hapa tanzania kwa sasa hivi kama TANU
mbumbumbu wewe post yako imeongelea kuhusu walinzi wa rais jamaa alivyokujibu ukamtolea mfano wa Mossad, Cia, kgb kwa maana yako na umbumbumbu wako kuwa CIA ndio wana dili na ulinzi wa rais wa marekani
mbumbumbu kabisa wewe
umbumbumbu wako huu matokeo yake kwenye post zako unatoaga maboko bila wewe kujua (hujui kama unatoa boko kwa sababu wewe ni mbumbumbu)
eti walikuwa makini siku zote utendaji kazi wao unakuwaje? maana inaonekana unawafuatilia sana hawa jamaa
maniac
Kuna taarifa nyeti.Nimeshuhudia mikutano kadhaa na yote kupitia Runinga inayohusisha Viongozi wakuu wa nchi mbalimbali ikiwemo na ya Tanzania ila nimeshangaa na kila mara nikawa najiuliza leo wakati Mheshimiwa Mukulu yupo Karimjee kuungana na Waislamu Tanzania kusheherekea Sikukuu ya Eid Walinzi wake walikuwa makini kupita maelezo kiasi kwamba hata inzi alikuwa hawezi kuruka kati yao kwa umakini waliokuwa nao.
Je nini imepelekea hii hali leo? Najua humu kuna Wataalam wa haya mambo hivyo basi si vibaya mkatoa ujuzi wenu kwetu sisi tusiojua ili nasi tuweze kuelimika na vile vile inaweza ikawa ni chachu kwa wengine wenye kutamani kufanya hiyo Kazi na wao waweze kuhamasika.
Hawa jamaa huwa napenda sana kuwaona na hata kuwapa pongezi kwa umakini na uhodari wao wa ulinzi ila tatizo kubwa nipo nao mbali wao wakiwa huko Tanzania na Mimi nikiwa huku nchini Rwanda.
Natamani sana hata sisi huku kwetu Walinzi wa Rais wetu Paul Kagame na wao wawaige Walinzi hawa wa Rais wa Tanzania kwani kiukweli wana ueledi wa hali ya juu mno na wanajua wanachokifanya.
Tanzania mmebarikiwa kila kitu sijui kwanini na kiukweli tunawaonea wivu hadi nasi tunatamani sasa tuitwe tu Watanzania.
Tatizo lako dogo huwa unajifanya unajua vitu kumbe mbumbumbu wa mwisho halafu mbaya sana wewe ni mwanaume ila vitu unavyofanyaga ni kama ex wangu yaani unafanya vitu vya kike mbumbumbu wewe umeshindwa kujua kuwa hakuna kitu kinachoitwa KGB duniani kwa mwaka wa ishirini na tano sasa kama sikosei yaani ni sawa sawa na mtu aseme hakuna chama imara hapa tanzania kwa sasa hivi kama TANU
mbumbumbu wewe post yako imeongelea kuhusu walinzi wa rais jamaa alivyokujibu ukamtolea mfano wa Mossad, Cia, kgb kwa maana yako na umbumbumbu wako kuwa CIA ndio wana dili na ulinzi wa rais wa marekani
mbumbumbu kabisa wewe
umbumbumbu wako huu matokeo yake kwenye post zako unatoaga maboko bila wewe kujua (hujui kama unatoa boko kwa sababu wewe ni mbumbumbu)
eti walikuwa makini siku zote utendaji kazi wao unakuwaje? maana inaonekana unawafuatilia sana hawa jamaa
maniac
hivi wewe ni mnyarwanda au mtz maana naona muhimbili unaijua vizuri
taratibu unahatarisha usalama wa nchi