Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Nyalandu alipojitoa CCM na kuja kwenu chadema mlijaza seva kushangilia lkn hakuna hata aliyehoji gharama za uchaguzi ila sasa wabunge wenu wanahama ghafla mnahoji gharama, mna matatizo ninyi watu, tuseme sasa hivi Wabunge 10 wa CCM wajitoa na kuhamia chadema, bado mjadala wa gharama za uchaguzi utakuwepo?
Acheni hizo, ...
Acheni hizo, ...