posta maziwa
Member
- Dec 14, 2017
- 15
- 5
mkuu Kwani kuna ulazima wa kupost
Sijui kama unajua na mtu wa namna gani?Walikwenda mahkamani kuomba zuio la kuvuliwa au kujadiliwa yanachama wao. Walibaki bungeni kwa nguvu ya mahkama
Mnalilia demokrasia ya maandamano tu..kwani we hujui hizo chaguzi ni sehemu ya demokrasia?Hahahaaaaaa Umemsikiliza Vzr lkn Upendo Au labda uchaguz wa jimbo la Nyarandu ushafanyika? Nimemuelewa xana Upendo tunalia njaa wakati Pesa tunafuja kwenye Chaguzi zisizo za lazima Maana huwezi ukajivua uanachama wa Chama ukatolewa bungeni utabaki kuwa mbunge kamili xaxa huko kujiondoa ubunge kisa kumuunga Magufuri why usijivue uanachama tu then ubaki kuwa Mbunge ili kuondoa gharama za kijinga
hawa jamaa cjui vpNyalandu alipojitoa CCM na kuja kwenu chadema mlijaza seva kushangilia lkn hakuna hata aliyehoji gharama za uchaguzi ila sasa wabunge wenu wanahama ghafla mnahoji gharama, mna matatizo ninyi watu, tuseme sasa hivi Wabunge 10 wa CCM wajitoa na kuhamia chadema, bado mjadala wa gharama za uchaguzi utakuwepo?
Acheni hizo, ...
Vipi mliwahi ihoji ccm kuhusu gharama za kurudia uchaguzi!
Upinzani wana matatizo sanaNyalandu alipojitoa CCM na kuja kwenu chadema mlijaza seva kushangilia lkn hakuna hata aliyehoji gharama za uchaguzi ila sasa wabunge wenu wanahama ghafla mnahoji gharama, mna matatizo ninyi watu, tuseme sasa hivi Wabunge 10 wa CCM wajitoa na kuhamia chadema, bado mjadala wa gharama za uchaguzi utakuwepo?
Acheni hizo, ...
Umeona risiti za hayo manunuzi nini mkuu?Tunahoji walionunuliwa na Chama makini Kwa manunuzi ya watu
Sana yani..upinzani hawa ambao wamefanya ufisadi wote nchi hiiUpinzani wana matatizo sana