SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Naona kama siku hizi za karibuni hapa dar kunakucha (jua linachomoza) mapema kuliko kawaida (nahisi kama kuna tofauti kidogo na miaka iliyopita kwa kipindi kama hiki). Kwa mfano, kuanzia saa 11:45 alfajiri huitaji mwanga wa taa kuendesha gari tofauti pengine na mwaka jana. Hali hii inasababishwa na nini?